Hii concept ya "I was her first" inapumbaza wanaume (baadhi) sana! I mean SOO WHAAAT?? Yaani as if hio ndio inampa kibali cha kuendeleza kubanjuana bila ndoa?! Mwache aendelee kujipa matumaini halafu binti akianza mbele atakuja na thread ya "Kanisaliti after 5 years....."Hahahaha imebidi nicheke tu kwa jinsi unavyojipa maflag na kujipa moyo kuwa wewe ndio wa kwanza na wa mwisho kula papuchi kwa miaka tano yote" bila shaka ulimuumba wewe! Anyway wee fata kile roho yako inapenda!!
Miaka 5 uko na mwanamke tena ulimtoa bikra huoi??? Acha wenzio wale tena wachukue jumla. Nikiona dada yangu yuko na mwanaume 5yrs hakuna ndoa nitamtafutia bwana. Huyo msichana naye pambaf kabisa ameuchezea ubikra adimu. Mkuu oa acha uzinzi.
Hii concept ya "I was her first" inapumbaza wanaume (baadhi) sana! I mean SOO WHAAAT?? Yaani as if hio ndio inampa kibali cha kuendeleza kubanjuana bila ndoa?! Mwache aendelee kujipa matumaini halafu binti akianza mbele atakuja na thread ya "Kanisaliti after 5 years....."
Umeona eeh? Kaka bado yuko ndotoni eti "On bed hajawahi kulala na mwanaume mwingine" Miaka inasonga yeye anafurahia ufalme kumbe hekalu lishavamiwa na mfalme mpyaBinti amechoshwa na uchumba sugu wa miaka 5 halafu ww mwenyewe hueleweki wala nia ya kutangaza ndoa huna, sasa alikuwa anatafuta jembe(co worker) litakaloweza kumuweka ndani for good.
Nyie mnaosemeaga nafsi za wenzenu ndo huwa mnafanywa vibaya, we sema tu unampenda sio mnapendana
na hilo swala la kumegwa ni Siri yake mwenyewe usiconclude kuwa hafanywi
huyo co-worker kama hali basi yupo mbioni kula.
Kutumiana picha ni kawaida siku hizi ata kama hujambandua
Nenda badoo uko ukajionee mkuu
Mimi evelyn salt nimekupm wewe?kukupa namba?msema kweli mpenz wa Mungu. Ww mtoto unaongeaga point sana huwa nawashangaa sana baadhi ya vidume wenzangu et tunapendana?! Au et niko peke yangu hakuna anayemgonga?! Huko ni kujidanganya au kuukataa ukweli.... Ww mtoto nmekupenda bure ila sio kimapenzi niliona unaanza kuingia pm kuniandikia namba yako muone hahahaa