kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,205
- 18,475
Yeap..walikua wanamazoea ya kuchat chat
kwao wanakujua....?
Yeap..walikua wanamazoea ya kuchat chat
what to do next
IFANYIE VIPIMO GEGEDO LAKE
PIMA UKUBWA ULIOKUWEPO TOA KWA ULE WA AWALI
kama jibu ni 0 mpe papuchi kama jibu ni_ negative basi guve him papuchi at ur own risk
Masomo yenye hivi vitu nilikuwa nayakubali kinoma.
Hujamuelewa mkuu! anaeongelewa hapa ni mdada sio me!
Kifupi ni kwamba hawezi kumzuia huyo co worker asichafue hali ya hewa.
hahahhaahh wewe si bazazi lazima uelewe
kuna wenzako wapo humu unawajua
kuna picha moja alipiga akiwa na kichupi (ipo nusu,chupi a miguu) ...
Kumbe hata parachuti inakubali kufanyiwa ma calculation? mwambie aje nimuazime vanier caliper na four figure!
Mmnh.Nipo ughaibuni.Nikirudi Bongo ntakushauri
Habari wadau,
Straight to the point, mpenzi wangu tupo pamoja mwaka wa 5 sasa, tunapendana, hatuna mikwaruzano na tunajaribugi ku solve matatizo yetu kwa umakini zaidi ili tuweze kukaa njia kuu.
On bed hajawahi kulala na mwanaume mwingine zaidi yangu mimi, nilikua wakwanza kwake..(natumai na wa mwisho..lol).
Lately alianza kuwa very busy na simu yake, sana sana watsapp..nikimuuiza anasema ni group tu(mpaka saa 9 usiku anaweza akawa online).
This weekend nilikaa nae geto nikawa na sync files za simu yake in my p.C ,nikafungua whatsapp images nakuangalia sent images kuna picha moja alipiga akiwa na kichupi (ipo nusu,chupi a miguu) ilikua sent ila sio kwangu...nilimbana na aka admit kweli kakosea na kujutia kweli kweli..inshort namimi nilichanganyikiwa ila yeye alizidi zaidi..
Nilimwambia aniache kwa mda niweze nikafikiria vizuri, na leo nilimtafuta na kumsamehe.
Sasa nimekuja kwenu apa mni shauri huyu kuku bandani nimuwekee some ground rules ama?
Binafsi nimemsamehe kwasababu najua nisingeweza kuishi na guilty ya kutomsamehe wakati yeye pia amenivumilia mengi sana pindi nilikua napitia mydrinking phase
NOTE: aliniambia same day asubuhi kabla sijafuma hiyo pic kwamba uyo co worker wake wamezoeana na anampaga company mda mwingi adi watu ofifin kwao wakaanza maneno ya chini ((alikua kama anajikosha kwakuwasema wafanyakazi wenzie wambeya))
Nimekuja apa kwenu kwasababu nahisi pia nahitaji councelling what to do next baada ya kumsamehe ..
sio parachuti ni PAPUCHI
ahhaahahaah
la kwako pekee ni kaburi.. mengine tuna share...Habari wadau,
Straight to the point, mpenzi wangu tupo pamoja mwaka wa 5 sasa, tunapendana, hatuna mikwaruzano na tunajaribugi ku solve matatizo yetu kwa umakini zaidi ili tuweze kukaa njia kuu.
On bed hajawahi kulala na mwanaume mwingine zaidi yangu mimi, nilikua wakwanza kwake..(natumai na wa mwisho..lol).
Lately alianza kuwa very busy na simu yake, sana sana watsapp..nikimuuiza anasema ni group tu(mpaka saa 9 usiku anaweza akawa online).
This weekend nilikaa nae geto nikawa na sync files za simu yake in my p.C ,nikafungua whatsapp images nakuangalia sent .
Miaka 5 uko na mwanamke tena ulimtoa bikra huoi??? Acha wenzio wale tena wachukue jumla. Nikiona dada yangu yuko na mwanaume 5yrs hakuna ndoa nitamtafutia bwana. Huyo msichana naye pambaf kabisa ameuchezea ubikra adimu. Mkuu oa acha uzinzi.
On bed hajawahi kulala na mwanaume mwingine zaidi yangu mimi
Brother hapo unachapiwa, acha kujitoa ufahamu.
Kama mtu anathubutu kutuma picha ya kichupi inamaana kuna kitu wanashare.
Huyo mpenzi wako anakupimia tu, ashakuona zoba.