Suprise
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 2,696
- 1,062
Thanks mkuu,,,
nilifanya kumsamehe na kumpiga marufuku kati yake na mawasiliano na huyo jamaa...
ila jana nimemfwata gafla ofisin kwake na kukuta bado anachat nae.
nimemtema mkuu
we nawe, kushauri kote kule