Nimemfuma katuma picha kwa Co-worker mwenzie

Nimemfuma katuma picha kwa Co-worker mwenzie

Baada ya facebook, whatsapp inakuja kasi sana kuvunja mahusiano. Pole sana kijana.
 
Habari wadau,

Straight to the point, mpenzi wangu tupo pamoja mwaka wa 5 sasa, tunapendana, hatuna mikwaruzano na tunajaribugi ku solve matatizo yetu kwa umakini zaidi ili tuweze kukaa njia kuu.
On bed hajawahi kulala na mwanaume mwingine zaidi yangu mimi, nilikua wakwanza kwake..(natumai na wa mwisho..lol).
Lately alianza kuwa very busy na simu yake, sana sana watsapp..nikimuuiza anasema ni group tu(mpaka saa 9 usiku anaweza akawa online).
This weekend nilikaa nae geto nikawa na sync files za simu yake in my p.C ,nikafungua whatsapp images nakuangalia sent images kuna picha moja alipiga akiwa na kichupi (ipo nusu,chupi a miguu) ilikua sent ila sio kwangu...nilimbana na aka admit kweli kakosea na kujutia kweli kweli..inshort namimi nilichanganyikiwa ila yeye alizidi zaidi..
Nilimwambia aniache kwa mda niweze nikafikiria vizuri, na leo nilimtafuta na kumsamehe.

Sasa nimekuja kwenu apa mni shauri huyu kuku bandani nimuwekee some ground rules ama?
Binafsi nimemsamehe kwasababu najua nisingeweza kuishi na guilty ya kutomsamehe wakati yeye pia amenivumilia mengi sana pindi nilikua napitia mydrinking phase

NOTE: aliniambia same day asubuhi kabla sijafuma hiyo pic kwamba uyo co worker wake wamezoeana na anampaga company mda mwingi adi watu ofifin kwao wakaanza maneno ya chini ((alikua kama anajikosha kwakuwasema wafanyakazi wenzie wambeya))


Nimekuja apa kwenu kwasababu nahisi pia nahitaji councelling what to do next baada ya kumsamehe ..

naweza kusema pole sana mkuu......... Usiusemee moyo wa mtu........
Hapa dunian usije kumwamin mtu... Hapo mnyama kachinjwa
 
hivi mwanaume unawezaje kuandika au kusema kitu cha namna hii?

najiuliza tu.......

hao wanaume wanaosema hivyo bado wapo aisee, nilishakutana na wawili wa hivyo sikuamini masikio yangu, kitu ambacho kilinichefua zaidi ni kwamba wake zao ninawafahamu na ninawafahamu mabwana zao wa nje.
 
Subiri kwanza mpaka akishakuambukiza Ukimwi ndio umuache.
 
Binti amechoshwa na uchumba sugu wa miaka 5 halafu ww mwenyewe hueleweki wala nia ya kutangaza ndoa huna, sasa alikuwa anatafuta jembe(co worker) litakaloweza kumuweka ndani for good.
 
We vumilia tu mkuu, whatsapp ina mengi. Bora hata wako katuma kavaa chupi, mimi nimeshatumiwa na wake za watu tena wenye ndoa wakiwa uchi kabisa bila nguo. Basi ukikumuka kuwa kavaa pete ya ndoa unapotezea tu kiutuuzima na kupunguza mawasiliono maana mke wa mtu ni sumu. Ila moyoni unabaki kumuonea huruma mume wake.
 
Umekuja kwa busara sana, na nimefurahi kumsamehe kwako, that's the things are supposed to be!!! Wote tunakosea at one point, what to do next ni kumpenda mkeo zaidi
 
Halafu tena alikua mlevi? Lazima walimchapia tuu! (Demu yoyote hawezi kukutumia picha ya chupi kama hujambandua bado)

Kutumiana picha ni kawaida siku hizi ata kama hujambandua
Nenda badoo uko ukajionee mkuu
 
Halafu tena alikua mlevi? Lazima walimchapia tuu! (Demu yoyote hawezi kukutumia picha ya chupi kama hujambandua bado)

Ulevi haukuwa sio extreme..
But it was outta control
 
Ukiona manyoyaa..........!!!!!

Acha tuu mkuu...
Worse thing the conversation niliyo retrieve ilionyesha jamaa anamgangania picha na alikua anamkubali kiaina..sasa sijui ni shetani au ninini
 
Msamehe. Mkumbushane uaminifu. Life liendelee.

Nashukuru sana na ndiyo nataka kufanya hivyo..maana in 5years this is the biggest mistake ashawahi kufanya..
Apo nyuma hakuwahi kunikosea hata
 
Back
Top Bottom