Nimelidondosha Bumunda jingine leo. Sitaki ujinga

Nimelidondosha Bumunda jingine leo. Sitaki ujinga

Yaani limeomba pesa jana kuwa lina shida nayo. Kwa uungwana hata sikuliuliza shida gani. Na lina fanya kazi. Nimetuma 300,000 halisemi hata asante ila linalalamika sijatuma ya kutolea.

Hii ndi siku njema. Mi sijui kwa nini nina bahati mbaya ya kupata mijidada ina shape nzuri ila haina akili nzuri. Itakuwa nami sina akili kama yao. Nasikitika sana

View attachment 3426642
Jitahidi uwe unahudhuria kikao unamtumiaje Malaya 300k,shukuru huyo jamaa ako anayehudhuria vikao kakusanua kuhusu ya kutolea.
 
Pesa yangu usinipangie matumizi, akinipa namba namtumia 500K ths sitanii

Hiyo ungenunulia maziwa, nyama na vyakula vya lishe ule usije ukaanguka kwa njaa sababu ya afya yako. Hako kamwili kako akikuona hata umpe milion 10 atakataa ataona anamdhulumu marehemu.
 
Back
Top Bottom