Wapo malaya mkuu wanauza indirect na wa order kama hilo bumunda sio wote ni wa pre sex on spot payment, hawa malaya wana mitindo mingi ya namna ya kuuza na kuendesha hiyo game yao ilihali tu wanaume tuingie kwenye mitego zao..siyo malaya, ni side chick, malaya huwa ni "pre sex-on spot-payment"
Duuh...! Kuna watu mna moyo wa chuma from no where unamtumia mwanamke 300 ,hata hamko crossed?. kwamba una hela za kutupa tu?Yaani limeomba pesa jana kuwa lina shida nayo. Kwa uungwana hata sikuliuliza shida gani. Na lina fanya kazi. Nimetuma 300,000 halisemi hata asante ila linalalamika sijatuma ya kutolea.
Hii ndi siku njema. Mi sijui kwa nini nina bahati mbaya ya kupata mijidada ina shape nzuri ila haina akili nzuri. Itakuwa nami sina akili kama yao. Nasikitika sana
View attachment 3426642
Kweli inasikitisha sanaYaani limeomba pesa jana kuwa lina shida nayo. Kwa uungwana hata sikuliuliza shida gani. Na lina fanya kazi. Nimetuma 300,000 halisemi hata asante ila linalalamika sijatuma ya kutolea.
Hii ndi siku njema. Mi sijui kwa nini nina bahati mbaya ya kupata mijidada ina shape nzuri ila haina akili nzuri. Itakuwa nami sina akili kama yao. Nasikitika sana
View attachment 3426642
Huu ndiyo uanaume sasa, safi....
SafiYaani limeomba pesa jana kuwa lina shida nayo. Kwa uungwana hata sikuliuliza shida gani. Na lina fanya kazi. Nimetuma 300,000 halisemi hata asante ila linalalamika sijatuma ya kutolea.
Hii ndi siku njema. Mi sijui kwa nini nina bahati mbaya ya kupata mijidada ina shape nzuri ila haina akili nzuri. Itakuwa nami sina akili kama yao. Nasikitika sana
View attachment 3426642
Tena unakuta hiyo hela na yeye anaenda kumuhonga king'asti wake.Unamtumia Malaya 300k, 😂😂🙌🏾
Shida ndio inaanzia hapo.Tena unakuta hiyo hela na yeye anaenda kumuhonga king'asti wake.