Nimelidondosha Bumunda jingine leo. Sitaki ujinga

Nimelidondosha Bumunda jingine leo. Sitaki ujinga

Anayejisikia kutukana 7bu ya hii post kama mimi tujuane
 
Yaani limeomba pesa jana kuwa lina shida nayo. Kwa uungwana hata sikuliuliza shida gani. Na lina fanya kazi. Nimetuma 300,000 halisemi hata asante ila linalalamika sijatuma ya kutolea.

Hii ndi siku njema. Mi sijui kwa nini nina bahati mbaya ya kupata mijidada ina shape nzuri ila haina akili nzuri. Itakuwa nami sina akili kama yao. Nasikitika sana

View attachment 3426642
Naomba umtumie Mama yako elfu Kumi nambili na mia Tano tu.


Alafu utuletee mrejesho wake.
 
HIi inaweza kuwa chai jamaa kajichatisha mwenyewe ili kupata content, so relax mkuu..wenye hela hata hawana kelele kama hizi
Hata mimi nadhani hivyo naona mawazo yetu yapo sawa sawa😁😁
 
Au kajiandikia na kujijibu mwenyewe huyu wala sio wa kumuamini nae bana 😂😂😂 mwanamke maisha haya utumiwe laki tatu hujaifanyia kazi uombe na ya kutolea weee
Huyu jamaa atakuwa kajichatisha bwana maisha haya hakuna dem wa kuchomoa kwenye laki 3
 
"Kijana wangu, hela ina tabia ya kuitana. Ukiidharaulisha huwaita wenzie na kuondoka. Hii ndo utaskia fulani kafilisika kisa mademu" Mzee X.

Mkuu kwanini unachezea hela?
Bila shaka huipati kwa jasho. Easy come, easy go. Maana ukibeba maji utathamini kila tone.
 
Mtumie mama yako hiyo hela alafu uone reaction zake, atakupa nataka mpaka uchanganyikiwe, wanawake wengine wa mjini hawana akili hata kidogo... Usimpe hela tena huyo mwanamke ni chiziiii....
 
Mkuu kwenye haya maisha Kila mtu ana nafasi yake ndio maana tupo wengi, ndio maana huwezi ishi ma nduguzo miaka yote, huwezi ona au kutiana na dada zako so, tunacheki kufanya mlinganisho wa vitu visivyoendana.
Huu mlinganisho sio kwamba hauendani unaendana masta, tunaanzia kwenye kumpa mtu alafu tunaangalia reaction yake, ndio maana jamaa akasema ungempa mamako uone atakavyoshukuru na yeye ndio anakuhusu moja kwa moja na hakupaswa kushukuru sana sababu si mamako bwana whether you like it or not kuna simu utawajibika tu awake kama yeye alivyokuwa anakufanyia wewe ukiwa mdogo, sasa basi huyu Malaya alitakiwa awe na shukran Tele teleee sababu yeye umekutana nae ukubwani tu, sio mke wako sio nani anasemaje kwamba hijamtumia ya kutolea? ina maana yeye ana shs zero kabisaaaa, sa mkuu mtu kama huyo wa nini...jamaa kafanya busara sana kurudisha hela yake waanze mwanzoo
 
Yaani limeomba pesa jana kuwa lina shida nayo. Kwa uungwana hata sikuliuliza shida gani. Na lina fanya kazi. Nimetuma 300,000 halisemi hata asante ila linalalamika sijatuma ya kutolea.

Hii ndi siku njema. Mi sijui kwa nini nina bahati mbaya ya kupata mijidada ina shape nzuri ila haina akili nzuri. Itakuwa nami sina akili kama yao. Nasikitika sana

View attachment 3426642
😂😂😂Eeh ana moyo ningetoa kwanza ndo nianze kulalamika
 
Chai bora, Kilele cha ubora
Ni chaguo, La watanzania
Kutokana, na ubora wake
Na inavyoburudisha zaidi
Kwenye kununua, Usiseme chai tu
Bali sema, Naomba chai boraaa
 
Uamuzi mzuri
Km anamaitaji ya 300,000 afu hana 10,000 ya kutolea uyo ni jinga kbsa, hongera kwa kukimbia mapema hapo akuna mwanamke na sizan km ana akili timamu uyo
 
Yaani limeomba pesa jana kuwa lina shida nayo. Kwa uungwana hata sikuliuliza shida gani. Na lina fanya kazi. Nimetuma 300,000 halisemi hata asante ila linalalamika sijatuma ya kutolea.

Hii ndi siku njema. Mi sijui kwa nini nina bahati mbaya ya kupata mijidada ina shape nzuri ila haina akili nzuri. Itakuwa nami sina akili kama yao. Nasikitika sana

View attachment 3426642
Naiona Tanzania ya viwanda vya nyama
 
Yaani limeomba pesa jana kuwa lina shida nayo. Kwa uungwana hata sikuliuliza shida gani. Na lina fanya kazi. Nimetuma 300,000 halisemi hata asante ila linalalamika sijatuma ya kutolea.

Hii ndi siku njema. Mi sijui kwa nini nina bahati mbaya ya kupata mijidada ina shape nzuri ila haina akili nzuri. Itakuwa nami sina akili kama yao. Nasikitika sana

View attachment 3426642
Sasa ndio nini mambo madogo unataka yakuza.
Shangingi macho yamemtoka kuona muhamala umerudishwa.
 
Asante studio
20250222_085803.jpg
 
Back
Top Bottom