Huyo ni simp na ndio maana unaona vitu anavyoongea hata havimake sense ukivifikiria kiume. Hao ndio wanaume wanaowafanya wanawake kuwa wajinga na kufanya mambo ya hovyo wakiamini wanaume wanapendezwa nayo na wanawasapoti.Tofautisha a woman as a part of nature na nafasi yake na Malaya, whore ambae nina hakika hata OP alimaanisha hivyo pale alipoita "bumunda" Sasa wewe umeona wapi Malaya akawa na thamani mkuu, unalelewa neno Malaya?
Mkuu kwenye haya maisha Kila mtu ana nafasi yake ndio maana tupo wengi, ndio maana huwezi ishi ma nduguzo miaka yote, huwezi ona au kutiana na dada zako so, tunacheki kufanya mlinganisho wa vitu visivyoendana.
Hata mkeo ni mke wetu tu. Sema wewe hujui
Dada zetu siku hizi ni janga sanaMalaya hawana shukrani mkuu, umeona the way alivyoreact ulivyomtumia hiyo pesa bila ya kutolea? Imagine ungemtumia bi mkubwa, mzee au nduguzo wa karibu nyumbani namna wangeshukuru na kukuombea blessings? Now you got me? Once a whore always a whore, 'em motherfuckers belong to street.
🤣🤣Mkuu hili bumunda umelifundisha kuomba hela nyingi hebu lilirudie lisije kututesa wengine
I second you mate.Huyo ni simp na ndio maana unaona vitu anavyoongea hata havimake sense ukivifikiria kiume. Hao ndio wanaume wanaowafanya wanawake kuwa wajinga na kufanya mambo ya hovyo wakiamini wanaume wanapendezwa nayo na wanawasapoti.
Huyo ni Simp. Wapigwe vita hawa Takataka ndio wanaotuharibia culture ya kiume wanatufanya tuonekane wanaume ni dhaifu na wa hovyo kwa wanawake.
Nipe namba yake nimtumie, laki tatu sio hela kumsimanga nayo mtoto mzuri kama huyo. Naisubiri pm namtumia na nauli ya kwenda kwa wakala.Yaani limeomba pesa jana kuwa lina shida nayo. Kwa uungwana hata sikuliuliza shida gani. Na lina fanya kazi. Nimetuma 300,000 halisemi hata asante ila linalalamika sijatuma ya kutolea.
Hii ndi siku njema. Mi sijui kwa nini nina bahati mbaya ya kupata mijidada ina shape nzuri ila haina akili nzuri. Itakuwa nami sina akili kama yao. Nasikitika sana
View attachment 3426642
Nipe namba yake nimtumie, laki tatu sio hela kumsimanga nayo mtoto mzuri kama huyo. Naisubiri pm namtumia na nauli ya kwenda kwa wakala.
laki3 tu mpaka unafungua uzi, angeomba gari si ungekimbilia Takukuru!! kijana jifunze kuwa mwanaume. Kuhusu nguvu zangu kiume hilo wewe mwanaume halikuhusu muhimu nipe namba zake nimsaidieWewe hata nguvu za kiume huna. Wanaume huwa hawaandiki hivi
Unatuma mshahara wangu kweli? Dah nimeumia sana.Yaani limeomba pesa jana kuwa lina shida nayo. Kwa uungwana hata sikuliuliza shida gani. Na lina fanya kazi. Nimetuma 300,000 halisemi hata asante ila linalalamika sijatuma ya kutolea.
Hii ndi siku njema. Mi sijui kwa nini nina bahati mbaya ya kupata mijidada ina shape nzuri ila haina akili nzuri. Itakuwa nami sina akili kama yao. Nasikitika sana
View attachment 3426642
HIi inaweza kuwa chai jamaa kajichatisha mwenyewe ili kupata content, so relax mkuu..wenye hela hata hawana kelele kama hizi