Nimelidondosha Bumunda jingine leo. Sitaki ujinga

Nimelidondosha Bumunda jingine leo. Sitaki ujinga

Yaani limeomba pesa jana kuwa lina shida nayo. Kwa uungwana hata sikuliuliza shida gani. Na lina fanya kazi. Nimetuma 300,000 halisemi hata asante ila linalalamika sijatuma ya kutolea.

Hii ndi siku njema. Mi sijui kwa nini nina bahati mbaya ya kupata mijidada ina shape nzuri ila haina akili nzuri. Itakuwa nami sina akili kama yao. Nasikitika sana

View attachment 3426642
Mkuu usiombe huyo demu awe mkeo wa ndoa ndio hasira zitazidi mara kumi, hasa ukiwa bado ndio unajitafuta, yashanikuta hayo kwa make wangu wa ndoa😭😭😭😭
 
Mkuu usiombe huyo demu awe mkeo wa ndoa ndio hasira zitazidi mara kumi, hasa ukiwa bado ndio unajitafuta, yashanikuta hayo kwa make wangu wa ndoa😭😭😭😭
Ilikuaje.....
 
Kuna watu wanalala njaa alf
Mtu wa namna hiyo hata kushukuru hamna
View attachment 3427208

Ningelitumia 1K nilipime kwanza
Kabla hujamtumia mtu hela kubwa anza na ndogo alf mpime ni mtu wa aina Gani
kwa mbinu hii nishawaacha weng mno nikidhan waifu material, ukimpa kidogo au kumpanga anajua huna hela anapunguza atention nawew, anasepa.
Alaah! Nani kasema mim ndo mtatua matatzo ya wadada wenye viburi wasiotaka kuoleka wamepanga mageto?
Wakati kuna ndugu zangu wanahitaj msaada wangu
 
kwa mbinu hii nishawaacha weng mno nikidhan waifu material, ukimpa kidogo au kumpanga anajua huna hela anapunguza atention nawew, anasepa.
Alaah! Nani kasema mim ndo mtatua matatzo ya wadada wenye viburi wasiotaka kuoleka wamepanga mageto?
Wakati kuna ndugu zangu wanahitaj msaada wangu
Aisee Hii mitizamo wanayo wanawake wengi sana

Ndio wale wanawaacha waume zao wakiwa chini alf wakifanikiwa wanajifanya wanarudi
 
Yaani limeomba pesa jana kuwa lina shida nayo. Kwa uungwana hata sikuliuliza shida gani. Na lina fanya kazi. Nimetuma 300,000 halisemi hata asante ila linalalamika sijatuma ya kutolea.

Hii ndi siku njema. Mi sijui kwa nini nina bahati mbaya ya kupata mijidada ina shape nzuri ila haina akili nzuri. Itakuwa nami sina akili kama yao. Nasikitika sana

View attachment 3426642
Huu ndiyo uanaume sasa, safi....
 
Back
Top Bottom