Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Halafu bby mbona Kaizer km simuelewi elewi....halafu ana haraka...
Mwambie atulize munkari kidogo umalizie utamwita....sawa bby eeh
hahahaha...B52 bana unataka kwenda hospitali na siye? maana zamu yako ilikuwa asubuhi...ila kurudia inaruhusiwa ilimradi mgonjwa apate faraja