Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
- Thread starter
- #61
nahavache mkweaUgua pole mkwea Mungu atakujali upone mapema
nahavache mkweaUgua pole mkwea Mungu atakujali upone mapema
teh teh mi nataka kitaloloo, utaniletea?
nimekumic Erick,
asante sana mpendwa, nakusubiriaUsijali mpenzi, soon nitakuja kukupigisha mazoezi ya mchaka mchaka najua utakuwa ushapona kabisa!!!
weekend poa Amy...ya kwako vipi? twende kumwona mgonjwa mchana? uandae mtori, manake naona dogo E52 yeye anapeleka matunda. Kuna sijui nani amesema atapeleka ma apple.
asante sana ndugu, na Mungu akubarikiPole sana Malaika se msofe, Mungu akupe afya njema mapema na kukupa amani yake , urudi kulitumikia taifa letu Pole sana
nimekumic shosty,
Nimekumiss pia Kaby...
Umeamkaje???
SL yu wapi?
Kipenz nimekumic aje.. Njoo home basi twende wote na kaizer kumuona mgonjwa..
huyo ni mtaalam atakujuzaMh hicho ngoja niongee na Kaizer ndo mtaalamu...kwangu ni msamiati mpya
yani wewe kwa uchakachuaji khaa
huyo ni mtaalam atakujuza
Hhhahaaaaa
Mambo ya weekend.....tuko na Angel tunamnywesha juice ya matango
Teh ila wewe hukawii kumpelekea mbege mgonjwa...itabidi nimwambie Amy awe makini na maandalizi yako...
Mwambie na Bagah asisahau kumpelekea mgonjwa bagah maana anazipenda sana....
sawa ngoja nije na rungu langu hapo
Apo mbege inaweza kuhusu magonjwa mengine ni ya kisaikolojia, akigonga kidogo unashangaa huyoo kapona
Hizo baga za BAGAH sio za mchina kweli asije akaendesha?
Teh km amelazwa kwa pressure si ndo akiliona hilo rungu atazimia....
Rungu lako ni km la Mtanga??
Teh we nomaa
nani agome!? Naumwa lakini nakula kama fuko, sijui nnamwanandani!Poa nimewaacha na Amy wanaandaa makulaji yako...halafu ugome kula uone tutakavyokufinya hata km unaumwa...
weekend poa Amy...ya kwako vipi? twende kumwona mgonjwa mchana? uandae mtori, manake naona dogo E52 yeye anapeleka matunda. Kuna sijui nani amesema atapeleka ma apple.