Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,672
- Thread starter
- #121
HahaUnakutana nae live unakutana na sura tofauti shape tofauti unapata mshtuko UNAKUFA.
HahaUnakutana nae live unakutana na sura tofauti shape tofauti unapata mshtuko UNAKUFA.
Ukapangusa kushoto kulialet m gues..hii itakuwa ulikwenda Tagged.
Kwani shida hapo nn
Unakuwa na rafiki Fb au IG
kila akijitupia ww una Chukua kwa dhumuni lako
unaweza weka picha zakenyingi
Kuna mwenzio nilimuektia nna maisha duni sana ila nikamwambia na malengo yetu baadae, na nilimpenda sanaa, alikua mzuri kweli kweli,Speechless
Kuna mwenzio nilimuektia nna maisha duni sana ila nikamwambia na malengo yetu baadae, na nilimpenda sanaa, alikua mzuri kweli kweli,
Tukienda lodge namtoa na 10, nkamwambia nafanya kibarua kwa mtu akanielewa kinafiki baada ya miezi 8 akaanza zingua kisa mtoto wa bosi mmoja serikali, jamaa kajipigia miezi 6 na simu kamnunulia afu akamwacha,
Siku anakuja kujua maisha yangu halisi akabaki kunilaumu kwanini nilimdanganya na kujilengesha tena wakati mi nshaoa sasa hivi ananilelea mwanangu ana mwaka, wakati alishachezea nafasi aliyonayo mwenzie.
Anaitwa Aisha Abdala anatafta Mme kigezo awe na miaka 30-55Ulimuweza
Alafu sio yeye tu, wakati nna mpango wa kuoa(ndani ya mwaka nilitafuta mke na nkaoa) niliwatongoza kama wa4 hivi vipindi tofauti na wote walikua na gia nna mtu wangu mmoja akafikia hadi kuja na bwanake dukani kwangu kufanya shoping, hata nikajaribu kuomba mechi za kirafiki kwa kua nalimpenda akagoma, baada ya kua mke wangu yuko likizo ya uzazi alijileta mbio, yaani ndani mwezi na nusu alinipa papuchi mara nne na zote alikua akiniita yeye kwake (alafu huyu nilimuweka wazi kabisa ukinikubali nakuoa kabisa lkn akachomoa), yaani baada hapo niliona wanawake akili zenu mnazijua wenyewe,Ulimuweza
Habari za fb za uongo mkuuAnaitwa Aisha Abdala anatafta Mme kigezo awe na miaka 30-55
Habari nimeitoa Facebook
Simu yake hiyo 0712 800 211
Vijana wa kiume fursa hiyoView attachment 921931
Mi aniite majina yote anayoona yanafaa siachiiNaachaje kwa mfano![]()
Wengine hawajui nini wanachotaka ndo mana wako hivyoAlafu sio yeye tu, wakati nna mpango wa kuoa(ndani ya mwaka nilitafuta mke na nkaoa) niliwatongoza kama wa4 hivi vipindi tofauti na wote walikua na gia nna mtu wangu mmoja akafikia hadi kuja na bwanake dukani kwangu kufanya shoping, hata nikajaribu kuomba mechi za kirafiki kwa kua nalimpenda akagoma, baada ya kua mke wangu yuko likizo ya uzazi alijileta mbio, yaani ndani mwezi na nusu alinipa papuchi mara nne na zote alikua akiniita yeye kwake (alafu huyu nilimuweka wazi kabisa ukinikubali nakuoa kabisa lkn akachomoa), yaani baada hapo niliona wanawake akili zenu mnazijua wenyewe,
Wanangu wana miaka 6 sasa yeye bado yupo tu anadanga na tunalingana umri, namtania namwambia mwaka kesho nikikukuta bado wanakuchekea nakuweka ya mtoto anasema tu "ukiwa siriazi sina kipingamizi"
Na kati ya hao wa4 ni mmoja tu kaolewa mwaka huu na wala sio yule alikuanae kipindi kile.
Unaweza kupanga kuonana akitokea tu ndo mimi unaweza anguka uzimie wiki nzimaHabari za fb za uongo mkuu
Hahahaaa, kweli lakini sio woteUnaweza kupanga kuonana akitokea tu ndo mimi unaweza anguka uzimie wiki nzima
Mi hata siwaelewagi kwa kweli, na wengi wao ndio wako hivyo.Wengine hawajui nini wanachotaka ndo mana wako hivyo
Baadhi yaoHahahaaa, kweli lakini sio wote
Hawaoleki kabisa...hawa ni kwa ajili ya show off....halafu utakuta mashine mbove...ukipiga mara moja unapotea kabisaSo hawa hawaoleki kabisa?
WAPO wanaopenda maigizo.Wapo waliooa hivi..