Nimekuta huyu mdada anatafuta mume

Nimekuta huyu mdada anatafuta mume

Mwanaume akikupenda kakupenda sana .
Hata uwe malaya unajua ,unamadharau huna adabu mwanaume akishapenda kapenda .
Nausimuhukumu mtu kwa maana duniani hakuna aliyemsafi hata mmoja wote mbele zake Mungu tunamakosa na ndio maana kila ijumapili tunatubu dhambi zetu.
So ukija na suala la kuchagua hata wewe mwanaume .
Utakosa penda kilichopo kwa maana ndio kipo kwa muda huo.
Umenipata kila mwanamke amepangiwa na Mungu kitu unashangaa huolewi ila ukapata mtoto.
Unashangaa wewe umeolewa
Naunashangaa umeolewa unafamilia nzuri na maisha mazuri.
Ila mkae kujua sio kila mtu ataolewa.
Wapo ambao sio destiny kuolewa so usiilazimishe.
Wengine wanalazimisha kuolewa namtu ambaye hana huo mmpango.
Dah kuolewa ni mipango ya Mungu.
Usimusingizie Mungu kuolewa niwewe mwenyewe
 
Mwanaume akikupenda kakupenda sana .
Hata uwe malaya unajua ,unamadharau huna adabu mwanaume akishapenda kapenda .
Nausimuhukumu mtu kwa maana duniani hakuna aliyemsafi hata mmoja wote mbele zake Mungu tunamakosa na ndio maana kila ijumapili tunatubu dhambi zetu.
So ukija na suala la kuchagua hata wewe mwanaume .
Utakosa penda kilichopo kwa maana ndio kipo kwa muda huo.
Umenipata kila mwanamke amepangiwa na Mungu kitu unashangaa huolewi ila ukapata mtoto.
Unashangaa wewe umeolewa
Naunashangaa umeolewa unafamilia nzuri na maisha mazuri.
Ila mkae kujua sio kila mtu ataolewa.
Wapo ambao sio destiny kuolewa so usiilazimishe.
Wengine wanalazimisha kuolewa namtu ambaye hana huo mmpango.
Dah kuolewa ni mipango ya Mungu.
Kweli ni mipango but its sad walah mwanamke unazeeka kila mtu anakuangalia like "huolewi tu?
Ni ngumu kuhimili maumivu yake
 
Wapo hadi mwingine miaka nane jamaa akazingua bahati nzuri akaolewa baada ya mwaka mmoja tena na mtu aliekua anampotezea kumuona si type yake
Kwa ulichoandika hapa rudia post yangu ya kwanza, wazuri hua wanachagua sana mwishowe wanaachwa,
Hata mimi nishawahi kua na hao warembo sana nikagundua sio matirio ya kuweka ndani ila nikawang'ang'ania sababu ya kuuzia sura na migegedo nilivyoamua kuoa nkahamia kwa mzuri wa kawaida asiye na makuu.
 
So hawa hawaoleki kabisa?
Kwa ulichoandika hapa rudia post yangu ya kwanza, wazuri hua wanachagua sana mwishowe wanaachwa,
Hata mimi nishawahi kua na hao warembo sana nikagundua sio matirio ya kuweka ndani ila nikawang'ang'ania sababu ya kuuzia sura na migegedo nilivyoamua kuoa nkahamia kwa mzuri wa kawaida asiye na makuu.
 
Back
Top Bottom