Habari ndg wanajamii!
Nimekuja mbele yenu nina shida ya kazi yoyote ya halali nipate kipato niweze kuendelea kumhudumia mama yangu ambae ni mgojwa miezi sasa tangu anze kuugua hospitalini nimezunguka sana kila wakipima wanasema hawaoni kitu chochote daktari akanishauri nimchukue mgonjwa nimpeleke kwenye tiba mbadala, hivyo changamoto niliyonayo ni ya kifedha nimekuja kwenu kwa yeyote mwenye kazi tafadhari anisaidie niokoe maisha ya mama yangu.
Kazi ambazo nimewahi kufanya kusimamia lodge, counter kwenye bar, mauzo, kusimamia site ya mtu kulikuwa na ujenzi, na kuuza duka. Ila naweza kufanya kazi yoyote nikielekezwa.
Niko tayari kufanya kazi mkoa wowote. Nitakushuru daima kwa kufanikisha ombi langu. MAWASILIANO 0678179034
Nimekuja mbele yenu nina shida ya kazi yoyote ya halali nipate kipato niweze kuendelea kumhudumia mama yangu ambae ni mgojwa miezi sasa tangu anze kuugua hospitalini nimezunguka sana kila wakipima wanasema hawaoni kitu chochote daktari akanishauri nimchukue mgonjwa nimpeleke kwenye tiba mbadala, hivyo changamoto niliyonayo ni ya kifedha nimekuja kwenu kwa yeyote mwenye kazi tafadhari anisaidie niokoe maisha ya mama yangu.
Kazi ambazo nimewahi kufanya kusimamia lodge, counter kwenye bar, mauzo, kusimamia site ya mtu kulikuwa na ujenzi, na kuuza duka. Ila naweza kufanya kazi yoyote nikielekezwa.
Niko tayari kufanya kazi mkoa wowote. Nitakushuru daima kwa kufanikisha ombi langu. MAWASILIANO 0678179034