montigo
Member
- Jan 27, 2021
- 22
- 63
Habari wana JF, matuamaini yangu ni wazima.
Kichwa kama kinavojieleza kwa ufupi, Nina uhitaji wa kazi yoyote ya halali isiyohitaji vyeti ili kuendesha maisha, Japo elimu yangu ni kidato cha sita(6).
Napatikana Iringa mjini, kwa yoyote mwenye connection au uhitaji wa mtu wa kufanya nae kazi basi anishike mkono.
Natanguliza shukrani
Kichwa kama kinavojieleza kwa ufupi, Nina uhitaji wa kazi yoyote ya halali isiyohitaji vyeti ili kuendesha maisha, Japo elimu yangu ni kidato cha sita(6).
Napatikana Iringa mjini, kwa yoyote mwenye connection au uhitaji wa mtu wa kufanya nae kazi basi anishike mkono.
Natanguliza shukrani