Kraut
Senior Member
- Apr 21, 2016
- 179
- 90
Habari ya muda wakuu,
Nimekuja mbele yenu kuomba kazi yoyote halali ili niweze kumudu maisha ya kila siku, kwa taaluma me ni muhitimu wa Bsc,. Agricultural Economics and Agribusiness kutoka Sua miaka 5 iliyopita Umri wangu ni miaka 28, jinsi Me.
Nina uzoefu wa kufanya kazi katika ununuzi wa mazao, data Entry pia nina ujuzi wa kutumia kumpyuta- Microsoft Excel & Word.
Naweza kufanya kazi tofauti na kada yangu, kwa sasa nipo Morogoro ila naweza kufika sehemu yoyote ndani ya Tanzania. Mawasiliano yangu 0713491412
View attachment 2533649View attachment 2533650View attachment 2533651
View attachment 2533654View attachment 2533655View attachment 2533656
Nimekuja mbele yenu kuomba kazi yoyote halali ili niweze kumudu maisha ya kila siku, kwa taaluma me ni muhitimu wa Bsc,. Agricultural Economics and Agribusiness kutoka Sua miaka 5 iliyopita Umri wangu ni miaka 28, jinsi Me.
Nina uzoefu wa kufanya kazi katika ununuzi wa mazao, data Entry pia nina ujuzi wa kutumia kumpyuta- Microsoft Excel & Word.
Naweza kufanya kazi tofauti na kada yangu, kwa sasa nipo Morogoro ila naweza kufika sehemu yoyote ndani ya Tanzania. Mawasiliano yangu 0713491412
View attachment 2533649View attachment 2533650View attachment 2533651
View attachment 2533654View attachment 2533655View attachment 2533656