Natafuta kazi au Connection ya biashara

Natafuta kazi au Connection ya biashara

Kraut

Senior Member
Joined
Apr 21, 2016
Posts
179
Reaction score
90
Habari ya muda wakuu,
Nimekuja mbele yenu kuomba kazi yoyote halali ili niweze kumudu maisha ya kila siku, kwa taaluma me ni muhitimu wa Bsc,. Agricultural Economics and Agribusiness kutoka Sua miaka 5 iliyopita Umri wangu ni miaka 28, jinsi Me.

Nina uzoefu wa kufanya kazi katika ununuzi wa mazao, data Entry pia nina ujuzi wa kutumia kumpyuta- Microsoft Excel & Word.

Naweza kufanya kazi tofauti na kada yangu, kwa sasa nipo Morogoro ila naweza kufika sehemu yoyote ndani ya Tanzania. Mawasiliano yangu 0713491412
View attachment 2533649View attachment 2533650View attachment 2533651
View attachment 2533654View attachment 2533655View attachment 2533656
 
Habari ya muda wakuu,
Nimekuja mbele yenu kuomba kazi yoyote halali ili niweze kumudu maisha ya kila siku, kwa taaluma me ni muhitimu wa Bsc,. Agricultural Economics and Agribusiness kutoka Sua miaka 5 iliyopita Umri wangu ni miaka 28, jinsi Me.

Nina uzoefu wa kufanya kazi katika ununuzi wa mazao, data Entry pia nina ujuzi wa kutumia kumpyuta- Microsoft Excel & Word.

Naweza kufanya kazi tofauti na kada yangu, kwa sasa nipo Morogoro ila naweza kufika sehemu yoyote ndani ya Tanzania. Mawasiliano yangu 0713491412
Mungu akufanyie wepes upate haraka
 
Habari ya muda wakuu,
Nimekuja mbele yenu kuomba kazi yoyote halali ili niweze kumudu maisha ya kila siku, kwa taaluma me ni muhitimu wa Bsc,. Agricultural Economics and Agribusiness kutoka Sua miaka 5 iliyopita Umri wangu ni miaka 28, jinsi Me.

Nina uzoefu wa kufanya kazi katika ununuzi wa mazao, data Entry pia nina ujuzi wa kutumia kumpyuta- Microsoft Excel & Word.

Naweza kufanya kazi tofauti na kada yangu, kwa sasa nipo Morogoro ila naweza kufika sehemu yoyote ndani ya Tanzania. Mawasiliano yangu 0713491412
Mkuu jaribu dili la upastor linalipa mno, ukishindwa jichanganye kwenye umachinga, hutakuwa kigogo ila angalau utamudu milo mitatu kodi ya nyumba na bundle
 
Mkuu jaribu dili la upastor linalipa mno, ukishindwa jichanganye kwenye umachinga, hutakuwa kigogo ila angalau utamudu milo mitatu kodi ya nyumba na bundle
Umachinga ni option iliyopo kipengele kwa sasa ni mtaji mkuu
 
Bado sijafanikiwa kupata wakuu
 
Bado sijafanikiwa wakuu
 
Back
Top Bottom