kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,092
Hilo jibu lako😁😁😁🙌Hizo ni zile ambazo mtu kavaa halafu ameziacha, ni nzuri kama zimefuliwa ndio ununue...
Hilo jibu lako😁😁😁🙌Hizo ni zile ambazo mtu kavaa halafu ameziacha, ni nzuri kama zimefuliwa ndio ununue...
Za voda au nyasi?Wazee WA AO5 za mkopo mnacoment wapi mbona siwaoni?
Ndio upo Nyegezi mwanza pole dogoWasalaam wadau. Mimi sitangazi biashara ila wadau hii simu inakaa na chaji na ipo Faster mtandaoni.
Ni simu gani nyingine ambayo unaiona ni nzuri mno tushee mawazo maana zamani nilikua najinunulia tu.
Hii itatupa experience maana maisha yetu kwa sasa bila smartphone hucheki.
Ukienda nyumbani kelele kibao.
Mimi furaha yangu naipata mtandaoni
Kuna simu mpya na refurbished, simu refurbished siku zote zinakua rahisi, unapata specs kubwa kwa bei ndogo ila unakua kama una bet inaweza kuwa nzuri ama ikawa na matatizo.Chief-Mkwawa samahani mkuu naomba utoe ushauri....kwaupande wako kati ya Samsung a15, aquos r6 na Redmi note 12 kwa same price unachukua ipi mkuu na kwanini? (Matumizi ya kawaida tu)
Asante Sana mkuu...ndio zote ni refurbished nitaibeba hiyo R6 as long inakuja na warranty ya mwaka mmoja.Kuna simu mpya na refurbished, simu refurbished siku zote zinakua rahisi, unapata specs kubwa kwa bei ndogo ila unakua kama una bet inaweza kuwa nzuri ama ikawa na matatizo.
Hapo Aquos R6 ni nzuri zaidi lakini sio mpya ni refurbished.
Kuhusu Redmi note 12 ni simu nzuri zaidi kuliko A15, ina 5G, soc yake nzuri zaidi ina perfomance kubwa, nayo ina Amoled, Camera yake unaweza weka Gcam na kuongeza quality etc.
chukua ya ram 6 unafurahia maishaWasalaam wadau. Mimi sitangazi biashara ila wadau hii simu inakaa na chaji na ipo Faster mtandaoni.
Ni simu gani nyingine ambayo unaiona ni nzuri mno tushee mawazo maana zamani nilikua najinunulia tu.
Hii itatupa experience maana maisha yetu kwa sasa bila smartphone hucheki.
Ukienda nyumbani kelele kibao.
Mimi furaha yangu naipata mtandaoni
Ukweli mchungu huu🥲🥲A series simu za watu ambao hawawezi afford high end.
Iyo exonys inachemshaMimi nataka ya A35
Eh so 25 ndio nzuriIyo exonys inachemsha
Chip za exoyns sio nzuriEh so 25 ndio nzuri
Hamna simu humo bhana😂😂😂A12 ni moja ya A series kali kuwahii kutokeaaa..!!