Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,302
- 9,095
1.5A56 bei gani?
1.5A56 bei gani?
Doh! hapo kwenye network ndio pa muhimu sana kwangu.Charge inatunza siku nzima
Mtandaoni haigandi vitu vinafunguka chap
Sema network kuna kipindi unawasha data hapo juu haisomi kabisa siyo mara nyingi inafanya hivi ila hii ndiyo changamoto yake niliyoiona
Ni heri hizo nyingine sijui A55 labda uulizie hii mtandao wake haufurahishi kuna wakatiDoh! hapo kwenye network ndio pa muhimu sana kwangu.
Wasalaam wadau. Mimi sitangazi biashara ila wadau hii simu inakaa na chaji na ipo Faster mtandaoni.
Ni simu gani nyingine ambayo unaiona ni nzuri mno tushee mawazo maana zamani nilikua najinunulia tu.
Hii itatupa experience maana maisha yetu kwa sasa bila smartphone hucheki.
Ukienda nyumbani kelele kibao.
Mimi furaha yangu naipata mtandaoni
Chukua kama yangu A 25
Google pixel 7pro hutajuta kuwa nayo.
Tajeni bei basi Ili tuvunje vibubu..Ndio ninayo tumia. Ipo vizuri sana.
ni kweli maana me kwenye simu naangalia hivyo vitatu; chaji,performance, na network.Ni heri hizo nyingine sijui A55 labda uulizie hii mtandao wake haufurahishi kuna wakati
Merci ami
Mimi nawaza nihamie kwenye google pixelni kweli maana me kwenye simu naangalia hivyo vitatu; chaji,performance, na network.
Pixel nimetumia kwenye mambo hayo matatu, moja haiko vizuri, CHAJI.Mimi nawaza nihamie kwenye google pixel
Ulikuwa unatumia ipi?Pixel nimetumia kwenye mambo hayo matatu, moja haiko vizuri, CHAJI.
Pixel 4a baadae Pixel 6, 6 ndio ilinishinda kabisa hamna simu paleUlikuwa unatumia ipi?
Nilikuwa nataka nichukue 7pro ngoja niachane nayo tuPixel 4a baadae Pixel 6, 6 ndio ilinishinda kabisa hamna simu pale
jaribu hio huenda iko poa ila 6/6a/6pro usiguse sikushauriNilikuwa nataka nichukue 7pro ngoja niachane nayo tu
Ngoja niachane nazo nicheki Samsung S seriesjaribu hio huenda iko poa ila 6/6a usiguse sikushauri
Pixel 4a nilikubali yani network & performance noma sana meseji inafika hata kabla hujatuma yani spidi ya SONGESHA kukata salio unapoweka hela
🙂
hizo jaribu ni nzuri navyosikia angalia inayokufaa.Ngoja niachane nazo nicheki Samsung S series
Uzi umeishia Hapa. Full StopIpo vizuri au ndo unaimudu gharama yake?
samsung kwenye games go for S series chip ya snapdragon iko vizuripo vizuri ukiwa una matumizi ya kawaida👿 ukiipushi sana kam kucheza games inaanza vipengele!!
Kweli kbsa lakin sio flagship ya SAMSUNG ndio jamaa anachosema..Processor zake ni za kawaida tu huwez kukuta zina MediaTek Dimensity 9300 Plus, Qualcomm Snapdragon 8 Gen 3, and Samsung Exynos 2400 na simu ni processorMhh. Sidhani. Mimi natumia A55 na sio kwamba siwezi kununua ya ml. 3. Sinaga wenge la simu.