Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,489
Hakuna simu kama A15 kwa price point ya 300,000-400,000 hapa Tanzania ambayo ni mpya unafungua mwenyewe kwenye makaratasi.Wasalaam wadau. Mimi sitangazi biashara ila wadau hii simu inakaa na chaji na ipo Faster mtandaoni.
Ni simu gani nyingine ambayo unaiona ni nzuri mno tushee mawazo maana zamani nilikua najinunulia tu.
Hii itatupa experience maana maisha yetu kwa sasa bila smartphone hucheki.
Ukienda nyumbani kelele kibao.
Mimi furaha yangu naipata mtandaoni
Weakness yake ni Camera tu sio nzuri ila mambo mengine kama Ukaaji chaji, kioo decent cha Amoled, perfomance nzuri ya Helio G99 na warranty ambayo ina cover hadi kuvunjika kioo.
A16 ni mpya yake ila bei ipo juu na hakuna upgrade ya maana sana ku warranty hio bei kubwa.