Nimehonga elfu 25 roho inauma sana

Nimehonga elfu 25 roho inauma sana

Unahonga elfu 25 unalalamika .

Mimi kuna mwanamke aliniomba elf hamsini ,, nkamtumia 53,000 Jana iyo ,,najana HIYO HIYO nmemuambia SIMTAKI ..sio sababu aliniomba hela ,,ila nisababu nilimpigia SIMU kuanzia saa tatu mpaka saa tano bila kupokelewa.

Alafu silalamiki .... Toa pesa ili upate nafasi ya kuingiza nyingine.
We ndo mwanaume sasa ........
Sio hili litoa mada buku ishirin na tano unalia???? Ebu acha utani bhana
 
Kama ukijijua huna hela mfukoni usilogwe kuingia na mdada shoping mall au dukani hususan hawa wa sikuhizi wasio kuwa na stamala lazima atataka kitu tu.Hata hivyo 25 ni pesa ndogo sana kuspend kwa mpenzi wako.kufikiria pesa ambayo ishatoka haisaidii kupata nyengine,pambana.
 
Kama ukijijua huna hela mfukoni usilogwe kuingia na mdada shoping mall au dukani hususan hawa wa sikuhizi wasio kuwa na stamala lazima atataka kitu tu.Hata hivyo 25 ni pesa ndogo sana kuspend kwa mpenzi wako.kufikiria pesa ambayo ishatoka haisaidii kupata nyengine,pambana.
Kama huna unamwambia sina. Huyu mwenzetu huyu ni MCHUMBA halafu anasema kamuhonga!
 
Kiukweli mi napenda sana sana kuhonga haswa mwanamke kama ni Mzuri nitamuhonga sana tuuu,huwa nahonga kuanzia laki,chini ya hapo sihongi,na hii yote sipendi ushindani...kama ni mwanamke mweusi/maji ya kunde,ana umbo zuri tuu na nimejiridhisha yake laki zangu atachukua sana tuuu....🙂😉😉 unashangaa niniii honga na wewe na kama hela ni rahisi...
Kipato buku unahonga laki
Hela za kubet uendeshee maisha....Naimba tu mkuu
 
Mkuu 25000 umefungua uzi!!! siku akikipiga mzinga wa laki+ si utaita waandishi wa habari!!!!

Labda nikudokeze yaliyonikuta mimi wiki chache zilizopita,

Nilimkatia tiketi ya ndege mdada toka mbeya mwanza fastjet laki5+ na hela ya kujiandaa sijui kujilemba kama laki2+ lakini hakuna mtu aliyetokea mpaka ile tiketi imekufa lakini hajaonesha kujali!!!!
 
Mkuu 25000 umefungua uzi!!! siku akikipiga mzinga wa laki+ si utaita waandishi wa habari!!!!

Labda nikudokeze yaliyonikuta mimi wiki chache zilizopita,

Nilimkatia tiketi ya ndege mdada toka mbeya mwanza fastjet laki5+ na hela ya kujiandaa sijui kujilemba kama laki2+ lakini hakuna mtu aliyetokea mpaka ile tiketi imekufa lakini hajaonesha kujali!!!!
Kwanini hajatokea mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom