Nimehonga elfu 25 roho inauma sana

Nimehonga elfu 25 roho inauma sana

Kamuibie hivyo viatu then kauze.wenzako wanawahonga wanawake harafu wanawaibia hizo pesa mwisho wa siku mzigo wanakula bure (just kidding)!
 
Interesting
1e81b294ca50d1be8729dcb3ac9e2383.jpg
 
Umeyataka mwenyewe, anaekupenda kweli angekuambia kabla baada ya kupima na kujua hutashindwa kutoa 25000 Mimi ningemwambia budget hairuhusu nikiwa serious, usikubali kuchotwa na akina Eva ,nafikiri atamueleza shoga wake kwamba nimechuna buzi, msiruhusu hayo mambo waelezeni ukweli akina Eva
 
Wanaume wa Dar hakika mnaboa na kukera. Kuhonga elfu 25 tu ushafungua uzi tayari.

Huku mikoani elfu 25 haitoshi hata nauli na bado tupo ngangari hatulalamiki wala kulialia.

Siku ukihonga nyumba au gari halafu ukatalie tutakukuta unang'inia mtini na kamba ya buku.
Acha uongo,..mkoan elf 25 ni hela nying sana,yan hapo dem anakula tena kitimoto na bia,analala lodge,na kesho unampa zawad ya visado vya nyanya na kuku wa kienyeji,na hela nying inabak,..ila daslam nkimnunulia mtoto wine ya robertson tuu pop corn imeisha,siunajua cinema popcorn cha size ya kat tuu 5000
 
Mbona una akili za ajabu ndugu?!

25 elfu tu umekuja kutangaza huku boss?? Halafu mtu anakushtukiza tu umnunulie kitu ilhali mahesabu hayo hukua nayo na wewe unatoa tu??
 
Acha uongo,..mkoan elf 25 ni hela nying sana,yan hapo dem anakula tena kitimoto na bia,analala lodge,na kesho unampa zawad ya visado vya nyanya na kuku wa kienyeji,na hela nying inabak,..ila daslam nkimnunulia mtoto wine ya robertson tuu pop corn imeisha,siunajua cinema popcorn cha size ya kat tuu 5000
hahahahahaha dah ebwana eeh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom