Umenikumbusha wik kadhaa nyuma kuna kabint nili meet nako pale shekinah mbezi,kakanambia kamemaliza 4 lakin kanafanya taratib za chuo,nkasema okay,ni kazur ,sasa urafik ukaendelea siku za usoni,ila sasa haka katoto sim hakana,kanatumia ya dadake,bas mawasiliano had aombe kwa dada,nameet nako usiku mitaa ya kwao,..dah mzee nkakanunulia sim zile za 99000,..heeee,naona baada ya kupata sim whatsap kakamweka bwana ake tena anaonekana ni bwa mdogo wa form 3 au 4 hiv,hahahahhah,dogo kavaa manguo ya rang rang,makofia,ma cheni,hahaha,nkasema yan mi fatak nmefkia ushindan na vitoto,nkakapotezea na hyo sim wala siiwaz,.hahah