mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,792
Ndo maana nimeamua kutulia kimya.zile meseji ndugu Mteja umetuma sh 10,000.siku hizi zimepungua kwenye simu yangu
Mumuombee sana huyu anawaaibishaKweli baby..mwambie ukweli.
Hahah ungeiweka hiyo kamanda kiingilio cha fiestaLeo mitaa ya tegeta tulikuwa tunazunguka zunguka ,ghafla mchumba yangu ambaye mke wangu mtarajiwa akaniambia tuingie dukani la viatu kwa rafiki Yake tukamsalimie.
Baada ya story n.a. shangaa mwenzangu kachukua viatu kaweka kwenye mfuko akasema baby lipia hapo viatu elfu 25.
Daah roho iliuma sema ikabidi nifungue wallet.
Onyo :wanawake hizi tabia zenu za kushtukiza sio nzuri kabisa, hali yenyewe ngumu hii ..pesa ngumu jamani tuoneeni huruma
Mkuu mbona umetoa pesa kizembe hivyo.... Ungemwambia huna maana kakushtukizaLeo mitaa ya tegeta tulikuwa tunazunguka zunguka ,ghafla mchumba yangu ambaye mke wangu mtarajiwa akaniambia tuingie dukani la viatu kwa rafiki Yake tukamsalimie.
Baada ya story n.a. shangaa mwenzangu kachukua viatu kaweka kwenye mfuko akasema baby lipia hapo viatu elfu 25.
Daah roho iliuma sema ikabidi nifungue wallet.
Onyo :wanawake hizi tabia zenu za kushtukiza sio nzuri kabisa, hali yenyewe ngumu hii ..pesa ngumu jamani tuoneeni huruma
Wewe ni aibu kwa wanaume wenzio. Umesema mchumba wako au ?!Leo mitaa ya tegeta tulikuwa tunazunguka zunguka ,ghafla mchumba yangu ambaye mke wangu mtarajiwa akaniambia tuingie dukani la viatu kwa rafiki Yake tukamsalimie.
Baada ya story n.a. shangaa mwenzangu kachukua viatu kaweka kwenye mfuko akasema baby lipia hapo viatu elfu 25.
Daah roho iliuma sema ikabidi nifungue wallet.
Onyo :wanawake hizi tabia zenu za kushtukiza sio nzuri kabisa, hali yenyewe ngumu hii ..pesa ngumu jamani tuoneeni huruma
Ndio hapo hata nimeshindwa kumshangaa!!Wewe ni aibu kwa wanaume wenzio. Umesema mchumba wako au ?!
Huyu jamaa sio mwanachama mwenzetu kwenye chama cha wanaume.Hahahaaaa!! Pole sana mkuu.
Yaani huyo ni mkeo mtarajiwa alafu bado unasema "umehonga"!!!!!!
Thank you for loving me, and I love you too Tajiri msomiI love you kapeace
BeibiiiiiUnahonga elfu 25 unalalamika .
Mimi kuna mwanamke aliniomba elf hamsini ,, nkamtumia 53,000 Jana iyo ,,najana HIYO HIYO nmemuambia SIMTAKI ..sio sababu aliniomba hela ,,ila nisababu nilimpigia SIMU kuanzia saa tatu mpaka saa tano bila kupokelewa.
Alafu silalamiki .... Toa pesa ili upate nafasi ya kuingiza nyingine.
Kula tano mkuusasa kiatu kachukua unalalamika nini, huyo anafaa kuwa mke kuliko anayeomba hela na usione alichonunua