Tafakari mara 100 huyo kumfanya mkeo wa ndoa!
Kama ni kweli alichukua mzigo bila kukushirikisha basi tegemea hata ukimuoa ataenda kukopa kwenye taasisi za kifedha ndogo ndogo (SACCOS, FINCA, SEDA, PRIDE,BRAC) hata kwenye mabenki bila kukushirika na ataweka mali zenu za kuduma kama dhamana yake!!!!
Usikurupuke kumuoa huyo!
Kama ni kweli alichukua mzigo bila kukushirikisha basi tegemea hata ukimuoa ataenda kukopa kwenye taasisi za kifedha ndogo ndogo (SACCOS, FINCA, SEDA, PRIDE,BRAC) hata kwenye mabenki bila kukushirika na ataweka mali zenu za kuduma kama dhamana yake!!!!
Usikurupuke kumuoa huyo!
ukitoa unaongezewa zaidi""sio wanalia lia hawa vijana wanaabisha mno...hahahh