joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,037
- Thread starter
- #101
Aisee. Ni mtihani sana.Nakumbuka jamaa angu nae ilokuwa Bado Kam mwez wafunge ndoa akazifuma msg za mke wake alikuwa anachakatwaga na docter ila alivyo washirikisha wazazi wake walimwambia amoue huyo huyo amsamehe ..kwam Ni kosa la Kwanza