Makimuda255
Senior Member
- Jul 31, 2020
- 165
- 286
Wakuu heshima kwenu
Kuna binti nilikuwa na mahusiano naye ya kimapenzi kwa muda wa miezi 3
Yeye alimaliza form 4 mwaka juzi na hakufaulu kulingana na alivyonambia
Nikiri sijawahi kufanya naye mapenzi ila tulikuwa tunachat tu msg moto moto za mapenzi yaani msg za kila aina na maneno yote ya mapenzi unayoyajua wewe na kila nikimuomba game alikuwa akinambia kwamba kesho au keshokutwa yaani anasogeza siku mbele bila sababu za msingi
Sasa leo kanipigia simu ananiambia kuwa jana nilivyochat nae kwao nyumbani waliona hizo msg na kumgombeza na baba yake na mama yake wamesema wanaongozana naye hadi kwangu hiyo kesho
Amenambia hayo leo nipo nimechanganyikiwa nishauri nifanyeje wakuu
Kiukweli sijawahi kufanya nae mapenzi japo ninapoishi anapajua, kingine nikichat nae huwa anasema anazifuta msg
Anasema chanzo cha yote ni mama yake aliamuzima simu na anadai kuna kipindi mama yake aliwahi kuona meseji zangu kwenye simu yake
Na hiyo siku kulitokea ugomvi mimi na yeye ishu ni kumpigia simu inakuwa bize.
Kingine huyu binti toka nachat nae juzi alisema hayupo nyumbani yupo kwa mjomba wake (huwa anakujaga kwa mjomba wake sana anakaa hata wiki)
Na hata leo wakati naongea nae asubuhi saa 5 alinambia yupo kwa mjomba wake
Sasa cha ajabu mida hii ya jioni ananipigia simu ananiambia tena hayo mambo kwamba yupo kwao wakati najua alikwishanambia yupo kwa mjomba.
Sasa wakuu nimechanganyikiwa nifanyeje nishaurini please
Kuna binti nilikuwa na mahusiano naye ya kimapenzi kwa muda wa miezi 3
Yeye alimaliza form 4 mwaka juzi na hakufaulu kulingana na alivyonambia
Nikiri sijawahi kufanya naye mapenzi ila tulikuwa tunachat tu msg moto moto za mapenzi yaani msg za kila aina na maneno yote ya mapenzi unayoyajua wewe na kila nikimuomba game alikuwa akinambia kwamba kesho au keshokutwa yaani anasogeza siku mbele bila sababu za msingi
Sasa leo kanipigia simu ananiambia kuwa jana nilivyochat nae kwao nyumbani waliona hizo msg na kumgombeza na baba yake na mama yake wamesema wanaongozana naye hadi kwangu hiyo kesho
Amenambia hayo leo nipo nimechanganyikiwa nishauri nifanyeje wakuu
Kiukweli sijawahi kufanya nae mapenzi japo ninapoishi anapajua, kingine nikichat nae huwa anasema anazifuta msg
Anasema chanzo cha yote ni mama yake aliamuzima simu na anadai kuna kipindi mama yake aliwahi kuona meseji zangu kwenye simu yake
Na hiyo siku kulitokea ugomvi mimi na yeye ishu ni kumpigia simu inakuwa bize.
Kingine huyu binti toka nachat nae juzi alisema hayupo nyumbani yupo kwa mjomba wake (huwa anakujaga kwa mjomba wake sana anakaa hata wiki)
Na hata leo wakati naongea nae asubuhi saa 5 alinambia yupo kwa mjomba wake
Sasa cha ajabu mida hii ya jioni ananipigia simu ananiambia tena hayo mambo kwamba yupo kwao wakati najua alikwishanambia yupo kwa mjomba.
Sasa wakuu nimechanganyikiwa nifanyeje nishaurini please