kabwinyola
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 560
- 678
Kumekucha salama
Kama ninavyosema, nina mchumba wangu ambaye tumekuwa wote kwenye uchumba Kwa miaka 4 sasa lakini pamoja na kwamba tumepanga tuoane baadae lakini tuneshakuwa kama mke na mme japo anakaa kwao nani nakaa kwetu,
Juzi nimeenda dukani kwake biashara nimemfungulia mimi, kwa ziara ya kushtukiza nikashika simu yake niliyomnunilia mimi na kuanza kuikagua hakupenda eti naomba simu yangu akakasirika saana mpaka ikabidi nimpe simu nikakaa kimya akaanza kujiongelesha ooo unajua kusamehe kama nimekuudhi.
Maana we una wivu najua ukikuta hata meseji ya kawaida uta kasirika, nikakaaa kimya sikuongea, akaendelea oooo unajua ngoja nikununulie zawadi nikakausha, akasema ooo nikuagizie chakula nikagoma.
Baada ya kuwaza sana tukio hilo najiuliza kuna nini hasa maana alivoruka na kuchukua simu ?
Kama ninavyosema, nina mchumba wangu ambaye tumekuwa wote kwenye uchumba Kwa miaka 4 sasa lakini pamoja na kwamba tumepanga tuoane baadae lakini tuneshakuwa kama mke na mme japo anakaa kwao nani nakaa kwetu,
Juzi nimeenda dukani kwake biashara nimemfungulia mimi, kwa ziara ya kushtukiza nikashika simu yake niliyomnunilia mimi na kuanza kuikagua hakupenda eti naomba simu yangu akakasirika saana mpaka ikabidi nimpe simu nikakaa kimya akaanza kujiongelesha ooo unajua kusamehe kama nimekuudhi.
Maana we una wivu najua ukikuta hata meseji ya kawaida uta kasirika, nikakaaa kimya sikuongea, akaendelea oooo unajua ngoja nikununulie zawadi nikakausha, akasema ooo nikuagizie chakula nikagoma.
Baada ya kuwaza sana tukio hilo najiuliza kuna nini hasa maana alivoruka na kuchukua simu ?