Nimegundua mchumba wangu kanisaliti baada ya kuona meseji za mapenzi kwenye simu yake

Sikia, mfokoe mara ya mwisho mwisho, hakikisha mpaka k inatoa harufu ya penseli iiyochongwa au k inatoa harufu ya tairi iliyoumana na lami, baada ya hapo muache
 
kuna watu mna masihara sana yani umekuta mpaka mesej ametoka kupigwa paipu ila bado unajiuliza kama umuache au laa

mimi dem wangu nikikuta hata kasimama na mtu ambae simfahamu napiga chini .

tukiwa pamoja msg ikiingia tunasoma wote, ikipiga namba mpya pokea weka loud speaker ,yani ubandidu tu😎
 
Msamehe tu, ila acha kumhudumia wala usimpatie chochote, ila mwonyeshe mapenzi. Hivyo ndivyo unavyoweza kumlipiza. Hapo kinachokuuma ni jinsi unavyomhudumia alafu kuna mtu anakula. Fanya hivyo hiyo ndoa sitisha tena mwambie live kabisa, anza kusogeza tarehe mbele. Na kuhusu huduma mpe vihela vidogodogo, elfu 2, elfu 3, elfu 4 Hadi elfu 5
 
Habari za asubuhi wakuu. Ni matumaini yangu kwamba hamjambo humu ndani.

Wakuu bila kupoteza muda ni kwamba leo asubuhi nikiwa tumelala, mpenzi wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa mwezi wa tano aliniomba nimsaidie kutengeneza simu yake kwa sababu ilikuwa na matatizo katika upande wa WHATSAPP.

Katika kuitengeneza nimekutana na meseji mbaya sana ambazo zilisababisha nitetemeke mithili ya mtu aliyepigwa na shoti ya umeme. Kiukweli nimejikaza kama mwanaume ili asigundue chochote.

Nikawa nimepiga picha zile meseji kwa camera ya mbele(screenshot) na kujitumia. Ni meseji ambazo zinaonesha few days ago alikuwa guest House na mwanaume. So yule mwanaume alikuwa anaomba wakutane tena pamoja na anakumbushia walivyofanya siku hiyo na kumsifia shemeji yenu kuwa anajua mambo sana.

Kwa muktadha huo hapo juu wakuu. Nipo nae hapa ndani natamani nimmalize kabisa ila roho inasita ingawa hajui kama nishajua usaliti alioufanya. Kiukweli imefikia muda nafsi yangu haitaki kumuona kabisa. Tangu saa tatu nipo tu nimelala naugulia maumivu wakuu.

Je nimpe taarifa au nisubiri mpaka siku ya send off yake nije nimuwekee zile picha za screenshot kama zawadi yake na hapo ndipo utakuwa mwisho wa mahusiano yetu na uchumba wetu?

Je nimtumie meseji hizi ili ajue kwamba nimegundua uchafu wake au nizitume kwa wazazi wake ili wajue matendo machafu ya mtoto wao?

Naomba tupeane uzoefu na mawazo wakuu. Najua wapo ambao watakuja kunikejeli ila it hurts a lot when you do really love someone halafu ana-cheat.

Ahsanteni na karibuni kwa ushauri pamoja na michango yenu wakuu maana nipo katika njia panda japo bado nipo imara sana.
Mrejesho au umeoa hivyohivyo
 
Habari za asubuhi wakuu. Ni matumaini yangu kwamba hamjambo humu ndani.

Wakuu bila kupoteza muda ni kwamba leo asubuhi nikiwa tumelala, mpenzi wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa mwezi wa tano aliniomba nimsaidie kutengeneza simu yake kwa sababu ilikuwa na matatizo katika upande wa WHATSAPP.

Katika kuitengeneza nimekutana na meseji mbaya sana ambazo zilisababisha nitetemeke mithili ya mtu aliyepigwa na shoti ya umeme. Kiukweli nimejikaza kama mwanaume ili asigundue chochote.

Nikawa nimepiga picha zile meseji kwa camera ya mbele(screenshot) na kujitumia. Ni meseji ambazo zinaonesha few days ago alikuwa guest House na mwanaume. So yule mwanaume alikuwa anaomba wakutane tena pamoja na anakumbushia walivyofanya siku hiyo na kumsifia shemeji yenu kuwa anajua mambo sana.

Kwa muktadha huo hapo juu wakuu. Nipo nae hapa ndani natamani nimmalize kabisa ila roho inasita ingawa hajui kama nishajua usaliti alioufanya. Kiukweli imefikia muda nafsi yangu haitaki kumuona kabisa. Tangu saa tatu nipo tu nimelala naugulia maumivu wakuu.

Je nimpe taarifa au nisubiri mpaka siku ya send off yake nije nimuwekee zile picha za screenshot kama zawadi yake na hapo ndipo utakuwa mwisho wa mahusiano yetu na uchumba wetu?

Je nimtumie meseji hizi ili ajue kwamba nimegundua uchafu wake au nizitume kwa wazazi wake ili wajue matendo machafu ya mtoto wao?

Naomba tupeane uzoefu na mawazo wakuu. Najua wapo ambao watakuja kunikejeli ila it hurts a lot when you do really love someone halafu ana-cheat.

Ahsanteni na karibuni kwa ushauri pamoja na michango yenu wakuu maana nipo katika njia panda japo bado nipo imara sana.
Kwa jinsi navyoona huyu jamaa hata tungemshauri nini inaonekana ataendelea naye tu.

Watu wa hivi sio wa kushauri. Huyo demu anaolewa na wewe lakini hakutaki.
 
Msamehe tu, ila acha kumhudumia wala usimpatie chochote, ila mwonyeshe mapenzi. Hivyo ndivyo unavyoweza kumlipiza. Hapo kinachokuuma ni jinsi unavyomhudumia alafu kuna mtu anakula. Fanya hivyo hiyo ndoa sitisha tena mwambie live kabisa, anza kusogeza tarehe mbele. Na kuhusu huduma mpe vihela vidogodogo, elfu 2, elfu 3, elfu 4 Hadi elfu 5
Meneja ulitisha sana
 
Fanya kama yesu alivyofanya alipo gundua yuda anamsati, yeye yuda peke yake atachukua maamuzi mwenyewe.
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom