Nimefurahia maamuzi kesi ya Mbowe, Mungu mkubwa atatenda

Inaumiza sana kuona mtu anayejifanya mchamungu na kuvaa ushungi masaa 24 anafanya ushetani kama huu.

Bora Mbowe ana watoto wakubwa na wana maisha yao. Sasa hao vijana watatu wana wake zao na watoto wanateseka kisa tu walitaka kumlinda Mbowe.

Mchengelwa mshauri vizuri mkweo. Malipo ni hapa hapa duniani.

Kwenye malipo ya hapa hapa duniani, msiisahau na familia ya Chacha Wangwe iliyomwaga machozi kwa ufedhuli uliofanywa na Deus Mallya akifadhiliwa na Dj
 
Jaji anahongwa cheo ili atoe hukumu ya aliyempa cheo. Baada ya kutoa hiyo hukumu anajitoa! Safi sana... lakin Mungu yupo kazini. Tutamfukia mtu Tena soon
 
Mtaombea vifo wangapi mkuu. Hapo unatamani jaji afe mpate kusema mnaona tulisema sie. Acheni roho mbaya
Swali rahisi Tu nikuulize, kulikuwa kuna ulazima gani wa haraka Kwa Hangaya kumpandisha cheo Jaji Siyani kama haikuwa rushwa kwake???

Nikuhakukishie Jaji Siyani kamwe hatofurahia cheo kile katika maisha yake yote na wala hatofaidi mishahara wake Kwa nafasi yake mpya. Ni suala la muda tu utakuja kuamini maneno yangu.
 
Tulianza awamu ya tano tukapiga makofi wapinzani walipofilisiwa na kufunguliwa kesi tukiamini tunakijenga chama. Tulipomalizana nao tuliamia kwa wana CCM nakuwachapa kuanzia kwenye fikra Hadi kwenye akaunti zao. Leo Wana CCM wote waliokuwa na nguvu ya kiuchumi wamefilisika, au wamekufa kwa presha na baadhi wamepoteza madaraka.

Kwanini yamewapata hayo? Ni kwa sababu waliamua kuishi maisha ya Mwenye nchi badala ya kuishi maisha yao. Wapo watu kwa uzembe kabisa bila kujali elimu zao waliumizwa kisa tu wanamwelekeo na mawazo tofauti. Lakini pia wapo watu walitumia nguvu za kibinadamu na dola kutesa wengine wakiamini zamu yao itadumu Sana. Pole kwao maana Mungu alipangalo si la wanadamu.

Tukamaliza harakati za awamu ya tano, walioamini wapo salama wakageuziwa kibao nakuondolewa kwenye nafasi zao Kisha kukalishwa kimya. Kwa frastration wakanzisha Hadi madarasa ya uongozi na wengine kujifanya wataalamu wa afya kupinga chanjo ya COvID19 lakini leo wote wamenyamazishwa na wanatakiw kuongea lugha moja na waliyedhani Hana nguvu.

Lakini ni Jambo kubwa kwamba unapopanga kuwanyoosha na Mungu naye anapanga ratiba yake, unapotumika kuwanyoosha na Mungu naye anapanga ratiba yake. Akina Rwegamalila waliishi utumwani kwa uvumilivu wakiaminishwa kwamba hakuna namna wanaweza kurudi uraiani lakini Leo wale wote waliokuwa wanawakandamiza awapo kwenye nafasi zao na wengine hata Duniani awapo.

Wapo watu wachache Sana nimeona wanashangilia maamuzi ya kesi ya Mbowe, lakini madhara ya maamuzi haya Ni makubwa Sana kwa wanyonge wa nchi hii. Ninaposema wanyonge simaanishi kwamba watu wasio na fedha Bali namaanisha wale wote ambao maamuzi haya yanawaruhusu kuteswa na dola na bila kuhojiwa. Mfano mkubwa ni utata wa kifo Cha dreva wa kampuni ya Dangote ambapo maelezo ya Polisi yaliyotolewa kila mtu ameyatilia mashaka lakini kile walichotamka Polisi ndicho kinachoishi.

Siyo hayo, tumeshuhudia machinga wakijaribu kufanya fujo karikoo lakini uongozi wao leo wamejitokeza na kusema wale siyo machinga bali Ni wahuni na imepita hivyo. Usidhani Kiongozi wa machinga anappsema Yale aliyoyasema hajui ukweli wake Bali ndivyo amabvyo tunaishi. Kwamba Mwenye kusema hiki ni sawa na si sawa ni serikali.

Niseme wazi kwamba tunaposhangilia maamuzi ya Jaji ambayo hayana hata kifungu Cha sheria kinachoonyesha msingi wa maamuzi yake Basi tutambue kwamba hii siyo huku ya Mbowe. Ni hukumu yakuigwa na mahakama zetu nyingi nchini. Tukumbuke ipo siku Kama ilivyozoeleka kwa miaka mitano viongozi na watu wenye ushawishi ndani ya CCM ambao Sasa hivi wanaona dola na mahakama Wana ndoa nzuri ndoa hiyo itawaathiri wao na famililia zao.

Nimalizie, Makonda aliteuliwa na JK kabla yakuteuliwa kuwa RC na JPM. Lakini ni Makonda huyo huyo wakati anataka kuonyesha ana nguvu alisau mambo yote Jk na familia yake waliyomfanyia na kumtangaza Riz one kwenye skendo za madawa ya kulevya bila hata kutoa ushahidi wowote. Lakini pia wazee wa CCM wasiwe wepesi wa kusahau namna ambavyo wao na familia zao walinyanyasika, mateso waliyopata hayakuzongatia tuhuma zilizothibitika Bali yalijikita kukomoa.

Maamuzi ya Jaji Siyani ambayo yanafuatia uendeshaji wa kesi huku muda wa Azana kesi ikiwa inasimamishwa kumheshimu Mungu itufumbue macho kwamba hawa watu tunaowashangilia ndio hao hao wanaotafuta kututawala wanapokuwa mafichoni au sirini. Tufurahie maana tunamwona Mbowe akiwa anapita mateso lakini naamini vijana waliopo naye kwenye kesi wana wazazi kama ambavyo qatoa maamuzi Wana wazazi.

Tukumbuke Kama baba Riz alivyoumia mwanaye kutajwa kwenye madawa ndivyo wazazi, mke na watoto wa watuhumiwa wanavyoumia wanapogundua muda wakusubiri vijana wao wawahudumie watu wachache ambao Sasa hivi usiku huu wapo wanastarehe na familia zao, wanaitwa Dad na Mom, wanaulizia mshahara utatoka lini wameamua bila sababu yoyote kuakikisha kwamba vijana wale wanateseka na may be wanakufa ili wao malengo yao yatimie.

Mungu aishiye anaweza akanyamaza kwa machozi ya familia hizi kwa muda ila atonyamaza milele. Tunaposherekea ushindi uluotolewa na Jaji leo Ni vyema pia tukaandaa nafsi zetu kupokea maamuzi ya mwenyenzi Mungu dhidi ya watuhumiwa na waliosababisha wapate mateso wanayopitia Sasa.

Niwatakie sherehe njea, bia ziendelee kuwa tamu kwenu lakini pia muda wa majonzi utakapowadia tuwe tayari kuupokea. Hongera wote tunaofurahia ushindi mkuu.
Napita
 
Tulianza awamu ya tano tukapiga makofi wapinzani walipofilisiwa na kufunguliwa kesi tukiamini tunakijenga chama. Tulipomalizana nao tuliamia kwa wana CCM nakuwachapa kuanzia kwenye fikra Hadi kwenye akaunti zao. Leo Wana CCM wote waliokuwa na nguvu ya kiuchumi wamefilisika, au wamekufa kwa presha na baadhi wamepoteza madaraka.

Kwanini yamewapata hayo? Ni kwa sababu waliamua kuishi maisha ya Mwenye nchi badala ya kuishi maisha yao. Wapo watu kwa uzembe kabisa bila kujali elimu zao waliumizwa kisa tu wanamwelekeo na mawazo tofauti. Lakini pia wapo watu walitumia nguvu za kibinadamu na dola kutesa wengine wakiamini zamu yao itadumu Sana. Pole kwao maana Mungu alipangalo si la wanadamu.

Tukamaliza harakati za awamu ya tano, walioamini wapo salama wakageuziwa kibao nakuondolewa kwenye nafasi zao Kisha kukalishwa kimya. Kwa frastration wakanzisha Hadi madarasa ya uongozi na wengine kujifanya wataalamu wa afya kupinga chanjo ya COvID19 lakini leo wote wamenyamazishwa na wanatakiw kuongea lugha moja na waliyedhani Hana nguvu.

Lakini ni Jambo kubwa kwamba unapopanga kuwanyoosha na Mungu naye anapanga ratiba yake, unapotumika kuwanyoosha na Mungu naye anapanga ratiba yake. Akina Rwegamalila waliishi utumwani kwa uvumilivu wakiaminishwa kwamba hakuna namna wanaweza kurudi uraiani lakini Leo wale wote waliokuwa wanawakandamiza awapo kwenye nafasi zao na wengine hata Duniani awapo.

Wapo watu wachache Sana nimeona wanashangilia maamuzi ya kesi ya Mbowe, lakini madhara ya maamuzi haya Ni makubwa Sana kwa wanyonge wa nchi hii. Ninaposema wanyonge simaanishi kwamba watu wasio na fedha Bali namaanisha wale wote ambao maamuzi haya yanawaruhusu kuteswa na dola na bila kuhojiwa. Mfano mkubwa ni utata wa kifo Cha dreva wa kampuni ya Dangote ambapo maelezo ya Polisi yaliyotolewa kila mtu ameyatilia mashaka lakini kile walichotamka Polisi ndicho kinachoishi.

Siyo hayo, tumeshuhudia machinga wakijaribu kufanya fujo karikoo lakini uongozi wao leo wamejitokeza na kusema wale siyo machinga bali Ni wahuni na imepita hivyo. Usidhani Kiongozi wa machinga anappsema Yale aliyoyasema hajui ukweli wake Bali ndivyo amabvyo tunaishi. Kwamba Mwenye kusema hiki ni sawa na si sawa ni serikali.

Niseme wazi kwamba tunaposhangilia maamuzi ya Jaji ambayo hayana hata kifungu Cha sheria kinachoonyesha msingi wa maamuzi yake Basi tutambue kwamba hii siyo huku ya Mbowe. Ni hukumu yakuigwa na mahakama zetu nyingi nchini. Tukumbuke ipo siku Kama ilivyozoeleka kwa miaka mitano viongozi na watu wenye ushawishi ndani ya CCM ambao Sasa hivi wanaona dola na mahakama Wana ndoa nzuri ndoa hiyo itawaathiri wao na famililia zao.

Nimalizie, Makonda aliteuliwa na JK kabla yakuteuliwa kuwa RC na JPM. Lakini ni Makonda huyo huyo wakati anataka kuonyesha ana nguvu alisau mambo yote Jk na familia yake waliyomfanyia na kumtangaza Riz one kwenye skendo za madawa ya kulevya bila hata kutoa ushahidi wowote. Lakini pia wazee wa CCM wasiwe wepesi wa kusahau namna ambavyo wao na familia zao walinyanyasika, mateso waliyopata hayakuzongatia tuhuma zilizothibitika Bali yalijikita kukomoa.

Maamuzi ya Jaji Siyani ambayo yanafuatia uendeshaji wa kesi huku muda wa Azana kesi ikiwa inasimamishwa kumheshimu Mungu itufumbue macho kwamba hawa watu tunaowashangilia ndio hao hao wanaotafuta kututawala wanapokuwa mafichoni au sirini. Tufurahie maana tunamwona Mbowe akiwa anapita mateso lakini naamini vijana waliopo naye kwenye kesi wana wazazi kama ambavyo qatoa maamuzi Wana wazazi.

Tukumbuke Kama baba Riz alivyoumia mwanaye kutajwa kwenye madawa ndivyo wazazi, mke na watoto wa watuhumiwa wanavyoumia wanapogundua muda wakusubiri vijana wao wawahudumie watu wachache ambao Sasa hivi usiku huu wapo wanastarehe na familia zao, wanaitwa Dad na Mom, wanaulizia mshahara utatoka lini wameamua bila sababu yoyote kuakikisha kwamba vijana wale wanateseka na may be wanakufa ili wao malengo yao yatimie.

Mungu aishiye anaweza akanyamaza kwa machozi ya familia hizi kwa muda ila atonyamaza milele. Tunaposherekea ushindi uluotolewa na Jaji leo Ni vyema pia tukaandaa nafsi zetu kupokea maamuzi ya mwenyenzi Mungu dhidi ya watuhumiwa na waliosababisha wapate mateso wanayopitia Sasa.

Niwatakie sherehe njea, bia ziendelee kuwa tamu kwenu lakini pia muda wa majonzi utakapowadia tuwe tayari kuupokea. Hongera wote tunaofurahia ushindi mkuu.
246015220_874113886797464_5328489689503711966_n.jpg
 
Tulianza awamu ya tano tukapiga makofi wapinzani walipofilisiwa na kufunguliwa kesi tukiamini tunakijenga chama. Tulipomalizana nao tuliamia kwa wana CCM nakuwachapa kuanzia kwenye fikra Hadi kwenye akaunti zao. Leo Wana CCM wote waliokuwa na nguvu ya kiuchumi wamefilisika, au wamekufa kwa presha na baadhi wamepoteza madaraka.

Kwanini yamewapata hayo? Ni kwa sababu waliamua kuishi maisha ya Mwenye nchi badala ya kuishi maisha yao. Wapo watu kwa uzembe kabisa bila kujali elimu zao waliumizwa kisa tu wanamwelekeo na mawazo tofauti. Lakini pia wapo watu walitumia nguvu za kibinadamu na dola kutesa wengine wakiamini zamu yao itadumu Sana. Pole kwao maana Mungu alipangalo si la wanadamu.

Tukamaliza harakati za awamu ya tano, walioamini wapo salama wakageuziwa kibao nakuondolewa kwenye nafasi zao Kisha kukalishwa kimya. Kwa frastration wakanzisha Hadi madarasa ya uongozi na wengine kujifanya wataalamu wa afya kupinga chanjo ya COvID19 lakini leo wote wamenyamazishwa na wanatakiw kuongea lugha moja na waliyedhani Hana nguvu.

Lakini ni Jambo kubwa kwamba unapopanga kuwanyoosha na Mungu naye anapanga ratiba yake, unapotumika kuwanyoosha na Mungu naye anapanga ratiba yake. Akina Rwegamalila waliishi utumwani kwa uvumilivu wakiaminishwa kwamba hakuna namna wanaweza kurudi uraiani lakini Leo wale wote waliokuwa wanawakandamiza awapo kwenye nafasi zao na wengine hata Duniani awapo.

Wapo watu wachache Sana nimeona wanashangilia maamuzi ya kesi ya Mbowe, lakini madhara ya maamuzi haya Ni makubwa Sana kwa wanyonge wa nchi hii. Ninaposema wanyonge simaanishi kwamba watu wasio na fedha Bali namaanisha wale wote ambao maamuzi haya yanawaruhusu kuteswa na dola na bila kuhojiwa. Mfano mkubwa ni utata wa kifo Cha dreva wa kampuni ya Dangote ambapo maelezo ya Polisi yaliyotolewa kila mtu ameyatilia mashaka lakini kile walichotamka Polisi ndicho kinachoishi.

Siyo hayo, tumeshuhudia machinga wakijaribu kufanya fujo karikoo lakini uongozi wao leo wamejitokeza na kusema wale siyo machinga bali Ni wahuni na imepita hivyo. Usidhani Kiongozi wa machinga anappsema Yale aliyoyasema hajui ukweli wake Bali ndivyo amabvyo tunaishi. Kwamba Mwenye kusema hiki ni sawa na si sawa ni serikali.

Niseme wazi kwamba tunaposhangilia maamuzi ya Jaji ambayo hayana hata kifungu Cha sheria kinachoonyesha msingi wa maamuzi yake Basi tutambue kwamba hii siyo huku ya Mbowe. Ni hukumu yakuigwa na mahakama zetu nyingi nchini. Tukumbuke ipo siku Kama ilivyozoeleka kwa miaka mitano viongozi na watu wenye ushawishi ndani ya CCM ambao Sasa hivi wanaona dola na mahakama Wana ndoa nzuri ndoa hiyo itawaathiri wao na famililia zao.

Nimalizie, Makonda aliteuliwa na JK kabla yakuteuliwa kuwa RC na JPM. Lakini ni Makonda huyo huyo wakati anataka kuonyesha ana nguvu alisau mambo yote Jk na familia yake waliyomfanyia na kumtangaza Riz one kwenye skendo za madawa ya kulevya bila hata kutoa ushahidi wowote. Lakini pia wazee wa CCM wasiwe wepesi wa kusahau namna ambavyo wao na familia zao walinyanyasika, mateso waliyopata hayakuzongatia tuhuma zilizothibitika Bali yalijikita kukomoa.

Maamuzi ya Jaji Siyani ambayo yanafuatia uendeshaji wa kesi huku muda wa Azana kesi ikiwa inasimamishwa kumheshimu Mungu itufumbue macho kwamba hawa watu tunaowashangilia ndio hao hao wanaotafuta kututawala wanapokuwa mafichoni au sirini. Tufurahie maana tunamwona Mbowe akiwa anapita mateso lakini naamini vijana waliopo naye kwenye kesi wana wazazi kama ambavyo qatoa maamuzi Wana wazazi.

Tukumbuke Kama baba Riz alivyoumia mwanaye kutajwa kwenye madawa ndivyo wazazi, mke na watoto wa watuhumiwa wanavyoumia wanapogundua muda wakusubiri vijana wao wawahudumie watu wachache ambao Sasa hivi usiku huu wapo wanastarehe na familia zao, wanaitwa Dad na Mom, wanaulizia mshahara utatoka lini wameamua bila sababu yoyote kuakikisha kwamba vijana wale wanateseka na may be wanakufa ili wao malengo yao yatimie.

Mungu aishiye anaweza akanyamaza kwa machozi ya familia hizi kwa muda ila atonyamaza milele. Tunaposherekea ushindi uluotolewa na Jaji leo Ni vyema pia tukaandaa nafsi zetu kupokea maamuzi ya mwenyenzi Mungu dhidi ya watuhumiwa na waliosababisha wapate mateso wanayopitia Sasa.

Niwatakie sherehe njea, bia ziendelee kuwa tamu kwenu lakini pia muda wa majonzi utakapowadia tuwe tayari kuupokea. Hongera wote tunaofurahia ushindi mkuu.

"Mungu aishiye anaweza akanyamaza kwa machozi ya familia hizi kwa muda ila hatonyamaza milele."

Amina.
 
Huezi amini Jaji ametoka kuadhimisha Siku ya kuzaliwa mtume (SAW) akaja na hili...

Hatujali watu waliteswa,walinyimwa chakula,walitiwa madawa,sheria haikufatwa kuwakamata,walitishwa kuuawa nk. Wanachotizama ni cheo nakuzidi kumfraisha muungu wao mtoa vyeo.

Mpaka vijana watakaposema sasa inatosha tunataka katiba safi na ifuatwe basi amiini nisemayo watu weeengi watakuwa wamedhulumiwa na taasisi vibogoyo,vipofu,viguru,viziwi tulizo nazo!!!

Eeh Mwenyezi Mungu wadondoshe woote walinyimao taifa lako haki,
aamini.
Mpende adui yako na kamwe usimuombee mbaya hakika utaurithi ufalme wa mbinguni.
 
Anahusika vipi katika hilo? Hii kesi ni mwendelezo wa kutunishiana misuli uliokuwepo kati ya aliyekuwa DC wa Hai na Mbowe! Mashinikizo ya kisiasa mnayoyapeleka serikali ya awamu ya 6 hayana msaada wowote katika kesi hii!! Mahakama itaamua, na kama DPP ataona kesi haina mashiko ataifuta, but siyo kwa mashinikizo ya kisiasa, ni serikali dhaifu pekee inaweza kupindisha sheria sababu ya mashinikizo ya kisiasa or mitandaoni
Anahusika kwa kutoa muelekeo wa kesi wakati akihojiwa na BBC.
 
Mpende adui yako na kamwe usimuombee mbaya hakika utaurithi ufalme wa mbinguni.
Acha ujinga wewe,unakremishwa na wazungu maupumbavu nawe unakariri!!
Wewe ukiwa adui wa Mungu je, yeye atakupenda??
Kwanini asikupende na akaishi nawewe paradiso maana yeye anaupendo mkuu kuliko binadamu?
Nikikubaka utanipenda na kuniombea mema daima???
Tumia akili usijazwe upupu kichwani ukaongeza idadi ya mazuzu nchini
 
Mjukuu umetoa hisia Kali, Kuna wacha Mungu wamekuelewa lakini wale watoa rushwa kanisani sidhani Kama wamekuelewa. Dhambi kubwa kuliko dhambi zote duniani Ni kukufuru roho mtakatifu.

Mbowe anapotoa mateso ili mtu au kundi Fulani lifurahi na kushangilia. Mungu hataruhusu haya yatokee....Mara ngapi Amelia?, Mara ngapi amefilisiwa, kuteswa, kuwekaa ndani, kufunguliwa kesi...? Siku yake ikifika atakuwa baba bora wa taifa. Tanuru hili analopitia Ni kupima ustahimilivu wake kwa Mungu. Kumbukeni Ayubu.....ilimradi hawajagusa roho yake....believe Mbowe is a great leader
Nakumbuka ya zambia
 
Tatizo lako eti mtu akifa basi ni kwa sababu alimuonea Mbowe na wale unafikiri wewe.
Sawa JPM alikufa sababu ya uliowasema,vipi mama mkwe wa Mbowe na kaka yake Mbowe wamekufa,nao walikuwa waovu Kama JPM?
Vipi mimba zilizoharibika zilifanya uovu upi?
Watoto wachanga wanaokufa wakati wa kuzaliwa wao walimuonea Nani?
Manabii na mitume waliokufa walimuonea Nani?

Wewe ni mtakatifu Sana hata unauwezo wa kuhukumu na kumupangia Mungu Cha kufanya?

Una uhakika waovu unaowataja kesi ya Mbowe watakufa kabla yako wewe mwema hujafa? Au wewe vile mwema utaishi milele?
Mara nyingi waonevu hujua uonevu wao utawapa maisha ya milele hata magufuli alijua akaa ikulu milele , kufa mapema kwa mtu ambaye ni muonevu kwa wengine huwa inatokana na kilio cha wenye kutaabika na mateso ya mtesaji
 
Back
Top Bottom