nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,029
- 2,902
Nani amle kchwa ? Huyo bingwa wa kubadili gia angani ndio aongoze nchi hii ?
Mama ni dhaifu kisiasa, na kwasababu hii 2025 ataliwa kichwa!
Huu mchezo hauhitaji hasira jamani hahahah...