Tatizo lako eti mtu akifa basi ni kwa sababu alimuonea Mbowe na wale unafikiri wewe.
Sawa JPM alikufa sababu ya uliowasema,vipi mama mkwe wa Mbowe na kaka yake Mbowe wamekufa,nao walikuwa waovu Kama JPM?
Vipi mimba zilizoharibika zilifanya uovu upi?
Watoto wachanga wanaokufa wakati wa kuzaliwa wao walimuonea Nani?
Manabii na mitume waliokufa walimuonea Nani?
Wewe ni mtakatifu Sana hata unauwezo wa kuhukumu na kumupangia Mungu Cha kufanya?
Una uhakika waovu unaowataja kesi ya Mbowe watakufa kabla yako wewe mwema hujafa? Au wewe vile mwema utaishi milele?
Sawa JPM alikufa sababu ya uliowasema,vipi mama mkwe wa Mbowe na kaka yake Mbowe wamekufa,nao walikuwa waovu Kama JPM?
Vipi mimba zilizoharibika zilifanya uovu upi?
Watoto wachanga wanaokufa wakati wa kuzaliwa wao walimuonea Nani?
Manabii na mitume waliokufa walimuonea Nani?
Wewe ni mtakatifu Sana hata unauwezo wa kuhukumu na kumupangia Mungu Cha kufanya?
Una uhakika waovu unaowataja kesi ya Mbowe watakufa kabla yako wewe mwema hujafa? Au wewe vile mwema utaishi milele?