Nimefurahia maamuzi kesi ya Mbowe, Mungu mkubwa atatenda

Tatizo lako eti mtu akifa basi ni kwa sababu alimuonea Mbowe na wale unafikiri wewe.
Sawa JPM alikufa sababu ya uliowasema,vipi mama mkwe wa Mbowe na kaka yake Mbowe wamekufa,nao walikuwa waovu Kama JPM?
Vipi mimba zilizoharibika zilifanya uovu upi?
Watoto wachanga wanaokufa wakati wa kuzaliwa wao walimuonea Nani?
Manabii na mitume waliokufa walimuonea Nani?

Wewe ni mtakatifu Sana hata unauwezo wa kuhukumu na kumupangia Mungu Cha kufanya?

Una uhakika waovu unaowataja kesi ya Mbowe watakufa kabla yako wewe mwema hujafa? Au wewe vile mwema utaishi milele?
 
Kwa Sabaya haki imetendeka na mahakama ni huru. Kwa Mbowe haki haijatendeka na mahakama siyo huru. What a double standard!

Wakiguswa wengine mnanyamaza, akiguswa gaidi mnataka sote tumpiganie eti wakimalizana nao watakuja na kwetu!

Pathetic fools.
Pole sana. Kama kweli unaamini Sabaya kaonewa BASI inuka/simama na uende ukamkatie rufani, waweza ukamwokoa ninaamini hujachelewa.
Ndugu yangu, kama kweli kutoka moyoni mwako wamwona Sabaya kuwa ni shujaa wako, tambua kuwa kumuombea Mbowe nae afungwe hivyo hivyo, ni ushabiki tu wa 'kichawi' ambao hautamsaidia (Sabaya) kwa LOLOTE katika haya yanayomkuta.
Hata hivyo kuamua kupoteza MUDA wako bado ni hiyari yako. AMEN
 
Tulianza awamu ya tano tukapiga makofi wapinzani walipofilisiwa na kufunguliwa kesi tukiamini tunakijenga chama. Tulipomalizana nao tuliamia kwa wana CCM nakuwachapa kuanzia kwenye fikra Hadi kwenye akaunti zao. Leo Wana CCM wote waliokuwa na nguvu ya kiuchumi wamefilisika, au wamekufa kwa presha na baadhi wamepoteza madaraka. Kwanini yamewapata hayo? Ni kwa sababu waliamua kuishi maisha ya Mwenye nchi badala ya kuishi maisha yao. Wapo watu kwa uzembe kabisa bila kujali elimu zao waliumizwa kisa tu wanamwelekeo na mawazo tofauti. Lakini pia wapo watu walitumia nguvu za kibinadamu na dola kutesa wengine wakiamini zamu yao itadumu Sana. Pole kwao maana Mungu alipangalo si la wanadamu.

Tukamaliza harakati za awamu ya tano, walioamini wapo salama wakageuziwa kibao nakuondolewa kwenye nafasi zao Kisha kukalishwa kimya. Kwa frastration wakanzisha Hadi madarasa ya uongozi na wengine kujifanya wataalamu wa afya kupinga chanjo ya COvID19 lakini leo wote wamenyamazishwa na wanatakiw kuongea lugha moja na waliyedhani Hana nguvu.

Lakini ni Jambo kubwa kwamba unapopanga kuwanyoosha na Mungu naye anapanga ratiba yake, unapotumika kuwanyoosha na Mungu naye anapanga ratiba yake. Akina Rwegamalila waliishi utumwani kwa uvumilivu wakiaminishwa kwamba hakuna namna wanaweza kurudi uraiani lakini Leo wale wote waliokuwa wanawakandamiza awapo kwenye nafasi zao na wengine hata Duniani awapo.

Wapo watu wachache Sana nimeona wanashangilia maamuzi ya kesi ya Mbowe, lakini madhara ya maamuzi haya Ni makubwa Sana kwa wanyonge wa nchi hii. Ninaposema wanyonge simaanishi kwamba watu wasio na fedha Bali namaanisha wale wote ambao maamuzi haya yanawaruhusu kuteswa na dola na bila kuhojiwa. Mfano mkubwa ni utata wa kifo Cha dreva wa kampuni ya Dangote ambapo maelezo ya Polisi yaliyotolewa kila mtu ameyatilia mashaka lakini kile walichotamka Polisi ndicho kinachoishi.

Siyo hayo, tumeshuhudia machinga wakijaribu kufanya fujo karikoo lakini uongozi wao leo wamejitokeza na kusema wale siyo machinga bali Ni wahuni na imepita hivyo. Usidhani Kiongozi wa machinga anappsema Yale aliyoyasema hajui ukweli wake Bali ndivyo amabvyo tunaishi. Kwamba Mwenye kusema hiki ni sawa na si sawa ni serikali.

Niseme wazi kwamba tunaposhangilia maamuzi ya Jaji ambayo hayana hata kifungu Cha sheria kinachoonyesha msingi wa maamuzi yake Basi tutambue kwamba hii siyo huku ya Mbowe. Ni hukumu yakuigwa na mahakama zetu nyingi nchini. Tukumbuke ipo siku Kama ilivyozoeleka kwa miaka mitano viongozi na watu wenye ushawishi ndani ya CCM ambao Sasa hivi wanaona dola na mahakama Wana ndoa nzuri ndoa hiyo itawaathiri wao na famililia zao.

Nimalizie, Makonda aliteuliwa na JK kabla yakuteuliwa kuwa RC na JPM. Lakini ni Makonda huyo huyo wakati anataka kuonyesha ana nguvu alisau mambo yote Jk na familia yake waliyomfanyia na kumtangaza Riz one kwenye skendo za madawa ya kulevya bila hata kutoa ushahidi wowote. Lakini pia wazee wa CCM wasiwe wepesi wa kusahau namna ambavyo wao na familia zao walinyanyasika, mateso waliyopata hayakuzongatia tuhuma zilizothibitika Bali yalijikita kukomoa. Maamuzi ya Jaji siani ambayo yanafuatia uendeshaji wa kesi huku muda wa Azana kesi ikiwa inasimamishwa kumheshimu Mungu itufumbue macho kwamba hawa watu tunaowashangilia ndio hao hao wanaotafuta kututawala wanapokuwa mafichoni au sirini. Tufurahie maana tunamwona Mbowe akiwa anapita mateso lakini naamini vijana waliopo naye kwenye kesi wana wazazi kama ambavyo qatoa maamuzi Wana wazazi. Tukumbuke Kama baba Riz alivyoumia mwanaye kutajwa kwenye madawa ndivyo wazazi, mke na watoto wa watuhumiwa wanavyoumia wanapogundua muda wakusubiri vijana wao wawahudumie watu wachache ambao Sasa hivi usiku huu wapo wanastarehe na familia zao, wanaitwa Dad na Mom, wanaulizia mshahara utatoka lini wameamua bila sababu yoyote kuakikisha kwamba vijana wale wanateseka na may be wanakufa ili wao malengo yao yatimie.

Mungu aishiye anaweza akanyamaza kwa machozi ya familia hizi kwa muda ila atonyamaza milele. Tunaposherekea ushindi uluotolewa na Jaji leo Ni vyema pia tukaandaa nafsi zetu kupokea maamuzi ya mwenyenzi Mungu dhidi ya watuhumiwa na waliosababisha wapate mateso wanayopitia Sasa.

Niwatakie sherehe njea, bia ziendelee kuwa tamu kwenu lakini pia muda wa majonzi utakapowadia tuwe tayari kuupokea. Hongera wote tunaofurahia ushindi mkuu.
SABAYA NI JAMBAZI NA MBOWE NI GAIDI MAHAKAMA INATENDA HAKI JUU TAIFA HILI,MUNGU AMEMUINUA MAMA KWA KUSUDI LAKE FUNGA MAGAIDI NA MAJAMBAZI YOTE
 
Tatizo wewe, uoeo wako unaishia mita moja. Tatizp ulipo wewe na mimi ni mbingu na nchi. Tunachoongelea ni kuwa na Taifa la haki.

Obama hakuwa Mkenya. Alikuwa Mmarekani. Wazazi wake walikuwa Wakenya. Unalinganisha embe na viazi.

Wewe una uraia mmoja, wa Tanzania. Lakini haki zako za kikatiba, robotatu zinaishia bara. Tanzania inaishia wapi, sijui kama wewe unajua. Wenzio wana uraia wa nchi mbili. Uraia ule ambao robotatu ya haki za kikatiba zinaishia bara, na uraia wa Zanzibar ambao haki za kikatiba ni asilimia miamoja. Hivyo haki zao za kikatiba ni 100% kwa Tanzania nzima.
Kwa hiyo Samia ni mrusi mambo ya robo na kasorobo unajua mwenywe , unaongelea uzanzibar wa Samia as if ni mtu kutoka Uganda Tanzania ni moja Zanzibar ni part ya hiyo so called Tanzania... acheni kuleta ubaguzi kwa pity issues wacheni vyombo vya sheria vifanye kazi yao sio kutujazia manyuzi ya hovyo apa, unatakiwa kuelewa kuwa Samia ndio Rais wako utake usitake penda usipende ata kama katoka kojani kenge wewe.
 
Pole sana. Kama kweli unaamini Sabaya kaonewa BASI inuka/simama na uende ukamkatie rufani, waweza ukamwokoa ninaamini hujachelewa.
Ndugu yangu, kama kweli kutoka moyoni mwako wamwona Sabaya kuwa ni shujaa wako, tambua kuwa kumuombea Mbowe nae afungwe hivyo hivyo, ni ushabiki tu wa 'kichawi' ambao hautamsaidia (Sabaya) kwa LOLOTE katika haya yanayomkuta.
Hata hivyo kuamua kupoteza MUDA wako bado ni hiyari yako. AMEN
Nimesema Sabaya ameonewa? Usichangie usichokielewa.
 
Mbowe amuue Chacha Wangwe na Magufuli amuachie,Are you serious?
KILA sababu za kutafutia Mbowe magufuli alizikosa.
Mbowe afanye ugaidi na magufuli amuache kweli kwa jinsi alivyokuwa akimtafuta.Mengine ayataki akili kureasoning.
 
Wewe nafikiri umeingiliwa na ushabiki wa kipuuzi . Umpotezee mtu muda na uelekeo kuwa kama hana hatia ataachiwa !! Seriously ?! . Unyanyasaji kwa wapinzani ktk nchi za ki communist haujaanzia leo na Tz tu. Ni vitu vya kukemewa visiote mizizi. Magu kanyanyasa watu leo yuko wapi ?!. Tunatendeana haya ili tuende nayo wapi ?!

Itikadi zetu zisitupofushe na kulewa madaraka
Kesi ipo Mahakamani, na wanasema upelelezi umekamilika, ishu ni kuanza tu kusikilizwa, imechelewa kuanza sababu ya hizi pingamizi, Sioni shida kubwa hapo!! Kungekuwa na shida kama wangeanza yale mambo yao ya kila kesi ikiitwa wanasema upelelezi haujakamilika huku washtakiwa wakiendelea kusota rumande! Tusubiri Mahakama iamue, na kama DPP anaona kesi ina vigezo vyote vya kufutwa then ifutwe, ila siyo kwa mashinikizo ya kisiasa
 
Tulianza awamu ya tano tukapiga makofi wapinzani walipofilisiwa na kufunguliwa kesi tukiamini tunakijenga chama. Tulipomalizana nao tuliamia kwa wana CCM nakuwachapa kuanzia kwenye fikra Hadi kwenye akaunti zao. Leo Wana CCM wote waliokuwa na nguvu ya kiuchumi wamefilisika, au wamekufa kwa presha na baadhi wamepoteza madaraka.

Kwanini yamewapata hayo? Ni kwa sababu waliamua kuishi maisha ya Mwenye nchi badala ya kuishi maisha yao. Wapo watu kwa uzembe kabisa bila kujali elimu zao waliumizwa kisa tu wanamwelekeo na mawazo tofauti. Lakini pia wapo watu walitumia nguvu za kibinadamu na dola kutesa wengine wakiamini zamu yao itadumu Sana. Pole kwao maana Mungu alipangalo si la wanadamu.

Tukamaliza harakati za awamu ya tano, walioamini wapo salama wakageuziwa kibao nakuondolewa kwenye nafasi zao Kisha kukalishwa kimya. Kwa frastration wakanzisha Hadi madarasa ya uongozi na wengine kujifanya wataalamu wa afya kupinga chanjo ya COvID19 lakini leo wote wamenyamazishwa na wanatakiw kuongea lugha moja na waliyedhani Hana nguvu.

Lakini ni Jambo kubwa kwamba unapopanga kuwanyoosha na Mungu naye anapanga ratiba yake, unapotumika kuwanyoosha na Mungu naye anapanga ratiba yake. Akina Rwegamalila waliishi utumwani kwa uvumilivu wakiaminishwa kwamba hakuna namna wanaweza kurudi uraiani lakini Leo wale wote waliokuwa wanawakandamiza awapo kwenye nafasi zao na wengine hata Duniani awapo.

Wapo watu wachache Sana nimeona wanashangilia maamuzi ya kesi ya Mbowe, lakini madhara ya maamuzi haya Ni makubwa Sana kwa wanyonge wa nchi hii. Ninaposema wanyonge simaanishi kwamba watu wasio na fedha Bali namaanisha wale wote ambao maamuzi haya yanawaruhusu kuteswa na dola na bila kuhojiwa. Mfano mkubwa ni utata wa kifo Cha dreva wa kampuni ya Dangote ambapo maelezo ya Polisi yaliyotolewa kila mtu ameyatilia mashaka lakini kile walichotamka Polisi ndicho kinachoishi.

Siyo hayo, tumeshuhudia machinga wakijaribu kufanya fujo karikoo lakini uongozi wao leo wamejitokeza na kusema wale siyo machinga bali Ni wahuni na imepita hivyo. Usidhani Kiongozi wa machinga anappsema Yale aliyoyasema hajui ukweli wake Bali ndivyo amabvyo tunaishi. Kwamba Mwenye kusema hiki ni sawa na si sawa ni serikali.

Niseme wazi kwamba tunaposhangilia maamuzi ya Jaji ambayo hayana hata kifungu Cha sheria kinachoonyesha msingi wa maamuzi yake Basi tutambue kwamba hii siyo huku ya Mbowe. Ni hukumu yakuigwa na mahakama zetu nyingi nchini. Tukumbuke ipo siku Kama ilivyozoeleka kwa miaka mitano viongozi na watu wenye ushawishi ndani ya CCM ambao Sasa hivi wanaona dola na mahakama Wana ndoa nzuri ndoa hiyo itawaathiri wao na famililia zao.

Nimalizie, Makonda aliteuliwa na JK kabla yakuteuliwa kuwa RC na JPM. Lakini ni Makonda huyo huyo wakati anataka kuonyesha ana nguvu alisau mambo yote Jk na familia yake waliyomfanyia na kumtangaza Riz one kwenye skendo za madawa ya kulevya bila hata kutoa ushahidi wowote. Lakini pia wazee wa CCM wasiwe wepesi wa kusahau namna ambavyo wao na familia zao walinyanyasika, mateso waliyopata hayakuzongatia tuhuma zilizothibitika Bali yalijikita kukomoa.

Maamuzi ya Jaji Siyani ambayo yanafuatia uendeshaji wa kesi huku muda wa Azana kesi ikiwa inasimamishwa kumheshimu Mungu itufumbue macho kwamba hawa watu tunaowashangilia ndio hao hao wanaotafuta kututawala wanapokuwa mafichoni au sirini. Tufurahie maana tunamwona Mbowe akiwa anapita mateso lakini naamini vijana waliopo naye kwenye kesi wana wazazi kama ambavyo qatoa maamuzi Wana wazazi.

Tukumbuke Kama baba Riz alivyoumia mwanaye kutajwa kwenye madawa ndivyo wazazi, mke na watoto wa watuhumiwa wanavyoumia wanapogundua muda wakusubiri vijana wao wawahudumie watu wachache ambao Sasa hivi usiku huu wapo wanastarehe na familia zao, wanaitwa Dad na Mom, wanaulizia mshahara utatoka lini wameamua bila sababu yoyote kuakikisha kwamba vijana wale wanateseka na may be wanakufa ili wao malengo yao yatimie.

Mungu aishiye anaweza akanyamaza kwa machozi ya familia hizi kwa muda ila atonyamaza milele. Tunaposherekea ushindi uluotolewa na Jaji leo Ni vyema pia tukaandaa nafsi zetu kupokea maamuzi ya mwenyenzi Mungu dhidi ya watuhumiwa na waliosababisha wapate mateso wanayopitia Sasa.

Niwatakie sherehe njea, bia ziendelee kuwa tamu kwenu lakini pia muda wa majonzi utakapowadia tuwe tayari kuupokea. Hongera wote tunaofurahia ushindi mkuu.
ulianza vzr ilipoanza kumtetea muuza ngada,nikajua huna lolote,ni njaa tu wewe inakusumbua!!
 
Pressure ipi?
Kete ya kumsukumia ndani mwamba inadhihirisha uoga, upeo mdogo na udhaifu mkubwa kwenye ulingo wa siasa
Anahusika vipi katika hilo? Hii kesi ni mwendelezo wa kutunishiana misuli uliokuwepo kati ya aliyekuwa DC wa Hai na Mbowe! Mashinikizo ya kisiasa mnayoyapeleka serikali ya awamu ya 6 hayana msaada wowote katika kesi hii!! Mahakama itaamua, na kama DPP ataona kesi haina mashiko ataifuta, but siyo kwa mashinikizo ya kisiasa, ni serikali dhaifu pekee inaweza kupindisha sheria sababu ya mashinikizo ya kisiasa or mitandaoni
 
Kwa Sabaya haki imetendeka na mahakama ni huru. Kwa Mbowe haki haijatendeka na mahakama siyo huru. What a double standard!

Wakiguswa wengine mnanyamaza, akiguswa gaidi mnataka sote tumpiganie eti wakimalizana nao watakuja na kwetu!
Swali rahisi Tu nikuulize, kulikuwa kuna ulazima gani wa haraka Kwa Hangaya kumpandisha cheo Jaji Siyani kama haikuwa rushwa kwake???

Nikuhakukishie Jaji Siyani kamwe hatofurahia cheo kile katika maisha yake yote na wala hatofaidi mshahara wake Kwa nafasi yake mpya. Ni suala la muda tu utakuja kuamini maneno yangu.
 
Nyie mnayemlaumu Samia kwani hii kesi ilifunguliwa awamu yake? Yeye ndiye Polisi waliyefanya upelelezi na kuleta ushahidi mahakamani? Yeye ndiye mwendesha mashtaka aliyepeleka kesi Mahakamani? Yeye ni jaji anayeamuru hizi kesi? Siku zote si mmekuwa mnalilia serikali isiingilie mahakama? Sasa mbona mnafanya kinyume na kulazimisha Serikali iingilie hii kesi? Mbona hatujaona nguvu kama hii ikitumika kwenye kesi nyingine?

Subirini kesi ya msingi, ushahidi wote utawekwa hadharani! Kama Mwamba hana hatia ataachiwa, huu uoga wenu unatoka wapi? Mbona inaonekana kama inatumika nguvu kubwa sana kuhakikisha kesi kuu haisikilizwi? Nini kinafichwa? Au kuna ushahidi huko unamvua mtu nguo na njia pekee ya kuukwepa ni kuhakikisha kesi kuu haisikilizwi? Subira inahitajika, Muda utatoa majibu, hizi panicks sijui mnazitoa wapi
Kinachowapa watu wasiwasi ni kuwa wanataka kutumia ushahidi wa kubumba ili jamaa afungwe. Fikiria ushahidi wanaotaka kutumia mwenye nao amekataa, kwamba aliteswa Sana aukubali. Hebu kumbuka jamaa walivyoteswa Kiana, bila hata kufuata kanuni za PGO.
Na huko mbele hatujui utaletwa ushahidi wa namna gani.
Shangaa kesi inavyoendeshwa, mara hakimu wa kwanza anajitoa baada kukubali kuwa mashitaka yamekosewa na anawapa nafasi ya kuyarekebisha. Huyu wa pili humo katikati anapandishwa cheo, baadae anajitoa.
Kwa kweli kesi Ina mazingira yakutatanisha
 
Mleta mada umetumia maneno meengi lakini ya kichonganishi chonganishi tu.

Hao wana CCM unaowasemea wakiteseka kwani hukuwasikia wakipanga usaliti wao mitandaoni?

Ukweli ni kwamba mkuki kwa nguruwe Sabaya ila kwa binadamu Mbowe mchungu!

Chagga Development Manifesto

Mtahangaika sana, lakini ukweli ni kwamba Mbowe anazo tuhuma za kujibu

Acheni mahakama ifanye!
 
Ungekuwa mpenda haki, tungeona threa d kama hizi kwa Sabaya. Wewe inaonekana ni mchumia tumbo tu. VIP ulishapona?
Unajua nashindwa kuwaelewa watanzania wenzangu. Hivi mtu una akili timamu kweli. unalinganisha kesi ya sabaya na kesi ya mbowe??? Sabaya aliumiza watu, alitorture watu na wapo na wametoa ushahidi na sio hao tu amedhulumu mtu milion 90 na kesi bado yaendelea!! mbowe amemdhuru nani??l hayo mashitaka si polisi pekee ndo wanayajua??
 
Kwa Sabaya haki imetendeka na mahakama ni huru. Kwa Mbowe haki haijatendeka na mahakama siyo huru. What a double standard!

Wakiguswa wengine mnanyamaza, akiguswa gaidi mnataka sote tumpiganie eti wakimalizana nao watakuja na kwetu!
Sabaya ni jambazi na ushahidi upo wa kutosha, acha kujivuruga
 
Back
Top Bottom