Sijawahi kujaribu hii. Let me tryKupika ni Sanaa ukiiwezea hiyo Sanaa hutokinai.
Simple recipe.
Ndizi chemsha na chumvi tu.
Kuku au nyama yoyote
Mchemshe na vitunguu. Akiiva badala ya kuunga.
Saga kitunguu kimoja
Kata kitunguu kimoja
Kwangua karot moja
Hoho moja nzima
Weka vyote na pilipili acha vichemke mpaka viive.
Mchicha chnganya na Chinese.
Katakata
Hoho
Karoti
Kitunguu
Baada ya hapo kamulia limao au ndimu chnganya vyote pika.
Pakua msosi wako halafu nipe mrejesho.
Mafuta kwny chakula yanasababisha kukinaiKumbe, nitafuata huu ushauri. Ngoja nianze kula vitu vya kuchemsha
Karibu utanipa jibu.Sijawahi kujaribu hii. Let me try
Karibu utanipa jibu.
Na ili usichoke kula chakula jaribu kutoka nje ya box utafaidi sana.
Mi napenda kula chakula kizuri na kitamu. Najitahidi kupika tofauti kidogo.
Tuma hapa bwana tufaidi woteMuda unao? Nkutumie mapdf ya masotojo?
Mazuri sana ,ukipata Mpishi mzuri ,haya yanaliwa sana ukanda wetu wa Kaskazini.Sijawahi kuyaelewa kabisa yani
Fanya uoe sasa Daktari,awe anakupikia pia. Umekosa mtoto mzuri wa kuoa hapo Mbeya?Shida unafosi kupika wewe ndiyo maana unakinai .
Mimi yule mama wa mgahawa ninapokula uwa haniangushi nikimpigia kuwa mbona leo sina hamu na vyakula kabisa anasema njoo utakuta pishi jipya .
Pishi jipya sasa utakuta wali na maziwa ya mgando alafu mchicha umechemshwa supu bila kuwekewa chochote ,natamani nizile nisile ila ndiyo vile mnyakyusa wa watu anakuwa amebuni pishi jipya mteja wake nisipeperuke
Daktari natamani kuoa hata leo ila a long story to tell ,wacha kwanza niendelee kujipa subiraFanya uoe sasa Daktari,awe anakupikia pia. Umekosa mtoto mzuri wa kuoa hapo Mbeya?
Unga viazi mviringo, vikiiva koroga mayai mwagia, koroga mayai yachanganyike na viazi ukiona mayai yameiva ipua chakula kipo tayari kuliwa
Sijaona.. mashed potatoes, macaroni, oats, cornflex, bokoboko. Hizo ndizi hujasema ni zipi, kuna aina nyingi za ndizi
Jaribu kupika uone utamu wake.What the f is this?
Jaribu kupika uone utamu wake.
Mama yangu alizoea kupika na kwangu huwa napika sana tu.Kitu umetengeneza at first i thought it's frittata(italian dish)...