Nimechoka kula vyakula vilevile kila siku

Nimechoka kula vyakula vilevile kila siku

Tatizo ni mfumo wa maisha, we don't give food a priority, unaona wazungu when they dime, wanpika na kula kisawasawa. Hawana stress za maisha. Sisi hata idea mpya ya chakula inatupa stress kuandaa
 
Mtu aliyechoka kula hivyo vyakula hawezi kuja huku jukwaani kuandika, Labda kama alipata D 1
Badala ya kupotezea watu muda, angeomba tu wamtajie aina vya vyakula pendwa Tanzania ILI ajifurahishe kuvijua majina yake....kwasababu sioni mtu aliyochoka vyakula hapa!
Wajuaji wa JF bhana
 
Nakushauri ukasome self-actualization kwenye Maslow's (Economics)
Namaanisha pengine less than 10% ya watanzania ndio wapo kwenye hiyo stage
yaani wameshapita, Basic needs, security needs, Social needs....
Kwa wewe unayekuja huku jukwaani, sioni kama umefika kwenye hiyo stage ya Self actualization.
Mimi nimechoka kula vyakula vilevile mfululizo. Nahitaji recommendation ya vyakula vipya, sio notes za self actualization
 
Kweli, mimi hata kwa vyakula hivyohivyo, style nyingi za upishi itakuwa sizijui vizuri
Watanzania wengi wa kawaida tumekariri mapishi ya msingi, mtu akijiongeza sana ni nazi. Pia food presentation ni tatizo, jinsi chakula kinavyowasilishwa na kupangiliwa kwenye sahani mezani inaleta utofauti mkubwa sana kwenye appetite. Hata hivyo masikini wengi wanakula washibe tu, hawahitaji mambo mengi.
 
Watanzania wengi wa kawaida tumekariri mapishi ya msingi, mtu akijiongeza sana ni nazi. Pia food presentation ni tatizo, jinsi chakula kinavyowasilishwa na kupangiliwa kwenye sahani mezani inaleta utofauti mkubwa sana kwenye appetite. Hata hivyo masikini wengi wanakula washibe tu, hawahitaji mambo mengi.
Hapo kwenye Watanzania wengi kujua mapishi ya msingi tu, ni sahihi. Mwenyewe huwa najua tu yale mapishi basic
Nadhani ndio maana nimechoka kula vyakula vilevile kwa sababu kila siku napika style zilezile
 
Hapo kwenye Watanzania wengi kujua mapishi ya msingi tu, ni sahihi. Mwenyewe huwa najua tu yale mapishi basic
Nadhani ndio maana nimechoka kula vyakula vilevile kwa sababu kila siku napika style zilezile
Kama una pesa ingia hotel moja ya maana waambie wakutengenezee Honey Soy Pork Ribs na viazi vya kukaanga.
 
Kila siku nimekuwa nikila vitu kwenye mzunguko uleule

Wali
Pilau
Nyama za ng'ombe na kitimoto (za kukaanga, kuchoma & kuungwa na nyanya)
Samaki (kuunga na nyanya & wa kukaanga)
Mayai (kukaanga na kuchemsha)
Tambi
Mboga za majani za kuunga na nyanya
Dagaa (same, kukaanga na kuunga)
Kuku (wa kukaanga & kuunga)
Chapati
Supu ya kuku au ng'ombe
Maandazi
Chips (kavu na zege)
Ndizi za kupikwa
Viazi vitamu & mviringo (style yoyote ile ya kupika. Na kadhalika

Sasa nakula vyakula hivihivi kila siku, hivi karibuni kila nikisikia njaa naanza kuwaza nile nini, vitu vilevile tu kila siku.
Nikaanza kujaribu kusearch vyakula vya Asia huko nianze kupika nijaribu vitu tofauti. Kila nikisearch nikianza kuangalia video za mapishi yao naona wanataja ingredients nyingi ambazo hata sijui pa kuzipata

Hivi ukitoa hivi vyakula common kama nilivyovitaja hapo juu, vyakula gani vingine huwa unapika/kula ukiwa home? Nataka nianze kula vitu vingine hata kwa miezi miwili mfululizo
Mapishi ni Sanaa sio Sayansi,
Chakula ni matokeo ya Sanaa kama ilivyo Mziki, Hadithi n.k.

Epuka kutumia formula za Watu, yafanye kama Sanaa na kuwa mbunifu.

Pia Fanya Fasting/Rebooting mara kwa mara kama alivyosema mdau mmoja hapo juu.

Binafsi Nakula vitu Simple & Peculiar mfano Ndizi bukoba za kuchemsha&kuponda + karanga za kusaga (Peanut butter) + Maziwa mgando, hii sijawahi kuchoka/kinai.
 
Back
Top Bottom