Nimechoka kula vyakula vilevile kila siku

Nimechoka kula vyakula vilevile kila siku

Kila siku nimekuwa nikila vitu kwenye mzunguko uleule

Wali
Pilau
Nyama za ng'ombe na kitimoto (za kukaanga, kuchoma & kuungwa na nyanya)
Samaki (kuunga na nyanya & wa kukaanga)
Mayai (kukaanga na kuchemsha)
Tambi
Mboga za majani za kuunga na nyanya
Dagaa (same, kukaanga na kuunga)
Kuku (wa kukaanga & kuunga)
Chapati
Supu ya kuku au ng'ombe
Maandazi
Chips (kavu na zege)
Ndizi za kupikwa
Viazi vitamu & mviringo (style yoyote ile ya kupika. Na kadhalika

Sasa nakula vyakula hivihivi kila siku, hivi karibuni kila nikisikia njaa naanza kuwaza nile nini, vitu vilevile tu kila siku.
Nikaanza kujaribu kusearch vyakula vya Asia huko nianze kupika nijaribu vitu tofauti. Kila nikisearch nikianza kuangalia video za mapishi yao naona wanataja ingredients nyingi ambazo hata sijui pa kuzipata
Hivi ukitoa hivi vyakula common kama nilivyovitaja hapo juu, vyakula gani vingine huwa unapika/kula ukiwa home? Nataka nianze kula vitu vingine hata kwa miezi miwili mfululizo
Unachoka kwasababu vyote hapo vinatumia mafuta

Kula vyakula vya kuchemsha hutokinai
 
Kupika ni Sanaa ukiiwezea hiyo Sanaa hutokinai.
Simple recipe.
Ndizi chemsha na chumvi tu.
Kuku au nyama yoyote
Mchemshe na vitunguu. Akiiva badala ya kuunga.
Saga kitunguu kimoja
Kata kitunguu kimoja
Kwangua karot moja
Hoho moja nzima
Weka vyote na pilipili acha vichemke mpaka viive.
Mchicha chnganya na Chinese.
Katakata
Hoho
Karoti
Kitunguu
Baada ya hapo kamulia limao au ndimu chnganya vyote pika.
Pakua msosi wako halafu nipe mrejesho.
 
Kila siku nimekuwa nikila vitu kwenye mzunguko uleule

Wali
Pilau
Nyama za ng'ombe na kitimoto (za kukaanga, kuchoma & kuungwa na nyanya)
Samaki (kuunga na nyanya & wa kukaanga)
Mayai (kukaanga na kuchemsha)
Tambi
Mboga za majani za kuunga na nyanya
Dagaa (same, kukaanga na kuunga)
Kuku (wa kukaanga & kuunga)
Chapati
Supu ya kuku au ng'ombe
Maandazi
Chips (kavu na zege)
Ndizi za kupikwa
Viazi vitamu & mviringo (style yoyote ile ya kupika. Na kadhalika

Sasa nakula vyakula hivihivi kila siku, hivi karibuni kila nikisikia njaa naanza kuwaza nile nini, vitu vilevile tu kila siku.
Nikaanza kujaribu kusearch vyakula vya Asia huko nianze kupika nijaribu vitu tofauti. Kila nikisearch nikianza kuangalia video za mapishi yao naona wanataja ingredients nyingi ambazo hata sijui pa kuzipata
Hivi ukitoa hivi vyakula common kama nilivyovitaja hapo juu, vyakula gani vingine huwa unapika/kula ukiwa home? Nataka nianze kula vitu vingine hata kwa miezi miwili mfululizo
Gentleman,
ukijihisi hutaki au unachukia mambo ya dunia hii, basi hiyo maana yake ya dunia hii ndio unayaaga taratibu hivyo kuelekea kwa baba šŸ’
 
Back
Top Bottom