Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,721
- 208,991
Kula walii mpaka mchele uote tumbonišHata sipo Dar, niko Mbeya
Kula walii mpaka mchele uote tumbonišHata sipo Dar, niko Mbeya
Unachoka kwasababu vyote hapo vinatumia mafutaKila siku nimekuwa nikila vitu kwenye mzunguko uleule
Wali
Pilau
Nyama za ng'ombe na kitimoto (za kukaanga, kuchoma & kuungwa na nyanya)
Samaki (kuunga na nyanya & wa kukaanga)
Mayai (kukaanga na kuchemsha)
Tambi
Mboga za majani za kuunga na nyanya
Dagaa (same, kukaanga na kuunga)
Kuku (wa kukaanga & kuunga)
Chapati
Supu ya kuku au ng'ombe
Maandazi
Chips (kavu na zege)
Ndizi za kupikwa
Viazi vitamu & mviringo (style yoyote ile ya kupika. Na kadhalika
Sasa nakula vyakula hivihivi kila siku, hivi karibuni kila nikisikia njaa naanza kuwaza nile nini, vitu vilevile tu kila siku.
Nikaanza kujaribu kusearch vyakula vya Asia huko nianze kupika nijaribu vitu tofauti. Kila nikisearch nikianza kuangalia video za mapishi yao naona wanataja ingredients nyingi ambazo hata sijui pa kuzipata
Hivi ukitoa hivi vyakula common kama nilivyovitaja hapo juu, vyakula gani vingine huwa unapika/kula ukiwa home? Nataka nianze kula vitu vingine hata kwa miezi miwili mfululizo
Exactly, ukila vyakula vya mchemsho mfano ndizi, viazi etc ni ngumu sana kukinai...tatizo ni vyote hapo anapika kwa mafutaAina za upishi ni nyingi sanaaa unaweza pika kiazi mviringo kwa namna ya kipekee na usichoke kula....ni vile tumezoea mapishi ya mazoea.
Ila tuuuuu mapishi masotojo yanahitaji muda na pesa.
Wakishuaā¦Sijaona.. mashed potatoes, macaroni, oats, cornflex, bokoboko. Hizo ndizi hujasema ni zipi, kuna aina nyingi za ndizi
Hapana mkuuWakishuaā¦
Muda unao? Nkutumie mapdf ya masotojo?Hapa ni sahihi. Huenda najua aina chache za mapishi ndio maana. Inabidi nispend time kusearch mapishi ya aina tofauti tofauti ni enjoy na mimi
Bwashee upo mbeya una omba watu wa dar ushauri kwenye chakula?Hata sipo Dar, niko Mbeya
Tafuta demu wakitanga then lete mrejeshoHata sipo Dar, niko Mbeya
Mbeya ni kwamba wanalima sana kwa hiyo vyakula ni bei rahisi; wanavyolima kama mchele, maharage, mboga za majani, nyanya, mahindi (unga), viazi nk. Sio kwamba Mbeya ni mafundi wa kupika, hapanaBwashee upo mbeya una omba watu wa dar ushauri kwenye chakula?
Sasa unasemaje umechoka ndizi na kumbe huzijui? Ndizi mzuzu ni zile za kuiva tamuā¦unaweza kuzikaanga au kuzichemsha na nazišš Mi sijui kutofautisha aina za ndizi
Jifunze kupiga mapishi tofauti tofauti , kulingana na vinavyopatikana mbeya, huko youtube .Mbeya ni kwamba wanalima sana kwa hiyo vyakula ni bei rahisi; wanavyolima kama mchele, maharage, mboga za majani, nyanya, mahindi (unga) nk. Sio kwamba Mbeya ni mafundi wa kupika, hapana
Umebadilika kumzidi Zuwena ššUnakula vyakula vyote hivyo kwani una nyonyesha?
I am who I amUmebadilika kumzidi Zuwena šš
Gentleman,Kila siku nimekuwa nikila vitu kwenye mzunguko uleule
Wali
Pilau
Nyama za ng'ombe na kitimoto (za kukaanga, kuchoma & kuungwa na nyanya)
Samaki (kuunga na nyanya & wa kukaanga)
Mayai (kukaanga na kuchemsha)
Tambi
Mboga za majani za kuunga na nyanya
Dagaa (same, kukaanga na kuunga)
Kuku (wa kukaanga & kuunga)
Chapati
Supu ya kuku au ng'ombe
Maandazi
Chips (kavu na zege)
Ndizi za kupikwa
Viazi vitamu & mviringo (style yoyote ile ya kupika. Na kadhalika
Sasa nakula vyakula hivihivi kila siku, hivi karibuni kila nikisikia njaa naanza kuwaza nile nini, vitu vilevile tu kila siku.
Nikaanza kujaribu kusearch vyakula vya Asia huko nianze kupika nijaribu vitu tofauti. Kila nikisearch nikianza kuangalia video za mapishi yao naona wanataja ingredients nyingi ambazo hata sijui pa kuzipata
Hivi ukitoa hivi vyakula common kama nilivyovitaja hapo juu, vyakula gani vingine huwa unapika/kula ukiwa home? Nataka nianze kula vitu vingine hata kwa miezi miwili mfululizo