mitishamba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 697
- 111
- Thread starter
- #41
unataka ule ili iweje coz km umeathirika ni kwamba sikio la kufa halisikii dawa
Kunywa dawa ya minyoo. hiyo itakua ni minyoo.
POPOBAWA.
Elizabeti mbona unanichukia hivo?
Basi usile!!
tena atanenepa kama atakua anakula kila bada ya nusu saaHakuna tatizo hata ukitaka kula kila saa, ni jambo la kawaida..
Nimeanza muda mrefu sana najitahidi kuvumilia lakini wapi. Tena wakati mwingine natamani nile hata mara 4 au 5 kwa siku...yaani sichoki.
nimepotea njia wakuu samahani.
Kula, Uliwe - JMK
Utakuwa unyonya hadi ukaota ndevu ndiyo ukaanza kula. Hivyo inabidi ufidie tu!!
tena atanenepa kama atakua anakula kila bada ya nusu saa
wewe ni jini mara 4 au 5 lakini inawezekana kama ni milo midogo midogo unatupa tonge moja unastop tena baada ya masaa 2 au 3 unaanzishia tena. je unakula mboga ya aina moja au unabadilisha?
utakuwa na kishape cha ajabu mkuu.Ni msosi wa nguvu mkuu.
Yaani unakula msosi mmoja hadi lisaa.
jaribu uone utanambia.....usiache kuchanganya mboga tofauti tofauti ndo utaskia ladha nzuri ya chakulaNi kweli?