isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,144
- 6,563
- Thread starter
- #141
Hakika mkuuOhooo hadi viatu vya ngozi??
Hakika mkuuOhooo hadi viatu vya ngozi??
Hapana! Sio MSWAHILI wala mzungu.UNAVUTA BANGI MKUU?? We ni mswahili au mzungu??
Ni mtu wa aina gani mkuu?Mie afro-mkushi 'Cushite' mkuu na hike Kagera huku.
Mtu peace tu lakini kuna mipaka.Ni mtu wa aina gani mkuu?
😳😳😳Ikiwa sijawahi kufeli, siamini katika kitu kufeli na katu sitokuja kufeli. Huu ni mwaka wa 21 bila sex ije kushindwa miaka kadhaa bakia?
Nitajihidi kutumia asali japo nayo ni ghali,nikishindwa nitaacha tu kutumia sukari kibabe maana mwili si unatengeneza sukari yake.Hapo kwenye sukari ya kiwandani- unaweza kutumia ASALI...
Punguza vyakula vya Wanga , kula zaidi protein..
Anza maisha ya mazoezi.. na utayazoea tu japo mwazo mgumu
Wanga kwani umekukosea nini hadi uuache?.Nitajihidi kutumia asali japo nayo ni ghali,nikishindwa nitaacha tu kutumia sukari kibabe maana mwili si unatengeneza sukari yake.
Mazoezi nafanya,ila kuacha wanga bado mtihani maana ndio chakula kikuu
We ni bikra au padreIkiwa sijawahi kufeli, siamini katika kitu kufeli na katu sitokuja kufeli. Huu ni mwaka wa 21 bila sex ije kushindwa miaka kadhaa bakia?
Mhh ngoja umri ukolee hivi ufanye japo mara moja ndo utajua why watu hawaachiSijawahi kushiriki sex, nimeacha mapenzi ya aina yoyote ile.
Ni kweli mkuu unakuta milo yote mitatu ni wanga tu ndio umetawala, hii ni hatari kwa watu amabao hawafanyi kazi za kutumia nguvu..Nitajihidi kutumia asali japo nayo ni ghali,nikishindwa nitaacha tu kutumia sukari kibabe maana mwili si unatengeneza sukari yake.
Mazoezi nafanya,ila kuacha wanga bado mtihani maana ndio chakula kikuu
Una uzito kg ngapi? Na urefu je?Wanga kwani umekukosea nini hadi uuache?.