UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,463
- 8,750
Unadhani kuwa atheist ndio upo huru kifikra? Mfano mleta mada anasema kafanya tafiti kuhusu Mungu na kafikia uamuzi kuwa hakuna Mungu na kaamuwa kuwa atheist, lakini kwa kuamua kwake kuwa atheist atajikuta analazimika kupinga uwepo wa vitu vingine mbali na Mungu kwa sababu ni atheist na si kwa sababu amefanyia utafiti hivyo vitu.Naelewa misingi ya imani ni ndani ya box la imani tu na sio fikra huru , hivyo siwezi pinga chochote kanisani wala msikitini au kwenye majukwaa ya dini ambayo yamefungamanishwa na misingi ya kiimani tu