min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,254
- 127,059
Kutoka nnje ya box na huku kuna vitisho vya moto× ahadi ya mbinguni sio jambo dogo inahitajika akili yenye utulivu mnoWelcome to the real world.
Kutoka nnje ya box na huku kuna vitisho vya moto× ahadi ya mbinguni sio jambo dogo inahitajika akili yenye utulivu mnoWelcome to the real world.
Definitely this 👆🏾 should be LOOSE NUT in capital letters.Nitakuwa mwema hadi kwa Bacteria na virus. Hata nikiumwa sitaki matibabu wala kumeza dawa kwasababu zitaua hawa viumbe ambao nao wana haki ya kuishi.
Hamtaki kutii mamlaka hamna lolote!Kutoka nnje ya box na huku kuna vitisho vya moto× ahadi ya mbinguni sio jambo dogo inahitajika akili yenye utulivu mno
Mbona mnaenda mbinguni , huku mkihuzunika na kulia lia kuna watu hawataki kwenda ? Nenda mbinguni tu salama🖐Hamtaki kutii mamlaka hamna lolote!
Mwenzako Elon musk kaachana u-atheist,anaamini Mungu yupo baada ya kui-study universeNimefanya tafiti yakinifu nimekuja kugundua Mungu hayupo. Ni story tu za kutupa matumaini hewa.
Nimeamua kuwa Atheist. Nitaupa muda nao ukizingua namrudia Yesu.
Dhulma, uonevu, usaliti na ukatili umetamalaki sana.
Bora kuamini nature na kuwa mwema kwa viumbe hai hata visivyonekana.
Ni maamuz yangu binafsi.
🚮Mwenzako Elon musk kaachana u-atheist,anaamini Mungu yupo baada ya kui-study universe
Lazima mkubali kuongozwa na mamlaka kubwa kuliko zote! mmeukuta ulimwengu mtauacha na hamjui mnamuachia nani! Mambo yote yalishapangwa, mtake msitake! Na nyinyi kwanini mnawafatilia wanaoenda mbinguni?Mbona mnaenda mbinguni , huku mkihuzunika na kulia lia kuna watu hawataki kwenda ? Nenda mbinguni tu salama🖐
Nimefanya tafiti yakinifu nimekuja kugundua Mungu hayupo. Ni story tu za kutupa matumaini hewa.
Nimeamua kuwa Atheist. Nitaupa muda nao ukizingua namrudia Yesu.
Dhulma, uonevu, usaliti na ukatili umetamalaki sana.
Bora kuamini nature na kuwa mwema kwa viumbe hai hata visivyonekana.
Ni maamuz yangu binafsi.
Kujadili hoja kisheria siyo namna na njia pekee ya kuthibitisha jamboKwanza kabisa, kisichopo hakithibitishiki kwamba hakipo.
Narudia tena, kisichopo, hakithibitishiki kuwa hakipo.
Kwa sanabu hakipo, na kama hakipo, hakithibitishiki kiwa hakipo, uthibitisho unaendana na kilichopo.
Tunaweza kujenga hoja kama za proof by contradiction kuonesha contradiction zinazoonesha kitu fulani hakiwezibkuwapo. Katika hii dhana ya Mungu (mjuzi wa yite, mwenye uwezo wote na uoendo wote) hayupo, nimeelezea sana Epicurean Paradox mpaka michoro nineiweka hapa. Googke Epicurean Paradox, soma, ielewe, kama una swali kuhusiana an Epicurean Oaradox lilete hapa.
Zaidi.
Mzigo wa uthibitisho unamuangukia yule anayesema kitu kipo.
Ndiyo maana Polisi wakija nyumbani kwako, wakisema una madawa ya kulevya, wao wanaosema una madawa ya kulevya wanatakiwa wafanye msako mpaka wayapate, wathibitishe yapo.
Hawakwambii wewe unayesema huna madawa ya kulevya uthibitishe huna madawa ya kulevya.
In principle, we cannot prove a negative, but we can show contradictions that shows the impossibikity of a negative.
Swali la kuuliza hapa, ni kuwauliza wanaosema Mungu yupo, wathibitishe Mungu yupo.
Unasema Mungu yupo?
Kama unasema hivyo, thibitisha Mungu yupo.
Waafrika wakikutana na mtu ha hana imani na mambo ya Mungu, ukichaa wenu unaanza kupanda tofauti kabisa na hata mataifa mengine sijui kwanini🤔Lazima mkubali kuongozwa na mamlaka kubwa kuliko zote! mmeukuta ulimwengu mtauacha na hamjui mnamuachia nani! Mambo yote yalishapangwa, mtake msitake! Na nyinyi kwanini mnawafatilia wanaoenda mbinguni?
Hata kama naenda motoni ila ukweli naujua!
Tuacheni na ukichaa wetu nendeni mataifa mengine!Waafrika wakikutana na mtu ha hana imani na mambo ya Mungu, ukichaa wenu unaanza kupanda tofauti kabisa na hata mataifa mengine sijui kwanini🤔
Elezea pua yako ilujuaje duniani kuna oksijeni ikawepo hapo mkuu
Wewe ni kiazi wa muda humu ,hivyo sina sababu ya kukueleza , sio kwa ubaya ila ni hivyo tu.Elezea pua yako ilujuaje duniani kuna oksijeni ikawepo hapo mkuu
Ivi umesoma ukaelewa kweli iyo point??Kujadili hoja kisheria siyo namna na njia pekee ya kuthibitisha jambo
Kama kuna jua na kuna photosynthesis inatakiwa wanaodai hakuna msanifu wa hilo watatakiwa kuthibitisha kwa kueleza namna gani hayo mambo yametokea
Oxygen ipo? Kama ipo thibitisha au ije yenyewe hapa ijitetee🫴🏾Kwanza kabisa, kisichopo hakithibitishiki kwamba hakipo.
Narudia tena, kisichopo, hakithibitishiki kuwa hakipo.
Kwa sanabu hakipo, na kama hakipo, hakithibitishiki kiwa hakipo, uthibitisho unaendana na kilichopo.
Tunaweza kujenga hoja kama za proof by contradiction kuonesha contradiction zinazoonesha kitu fulani hakiwezibkuwapo. Katika hii dhana ya Mungu (mjuzi wa yite, mwenye uwezo wote na uoendo wote) hayupo, nimeelezea sana Epicurean Paradox mpaka michoro nineiweka hapa. Googke Epicurean Paradox, soma, ielewe, kama una swali kuhusiana an Epicurean Oaradox lilete hapa.
Zaidi.
Mzigo wa uthibitisho unamuangukia yule anayesema kitu kipo.
Ndiyo maana Polisi wakija nyumbani kwako, wakisema una madawa ya kulevya, wao wanaosema una madawa ya kulevya wanatakiwa wafanye msako mpaka wayapate, wathibitishe yapo.
Hawakwambii wewe unayesema huna madawa ya kulevya uthibitishe huna madawa ya kulevya.
In principle, we cannot prove a negative, but we can show contradictions that shows the impossibikity of a negative.
Swali la kuuliza hapa, ni kuwauliza wanaosema Mungu yupo, wathibitishe Mungu yupo.
Unasema Mungu yupo?
Kama unasema hivyo, thibitisha Mungu yupo.
😃Ivi umesoma ukaelewa kweli iyo point??
Au umeshtuka kutoka usingizini??
Ni kwamba haujui ? Unataka kujuzwa au ndio umeshauliza swali gumu?Oxygen ipo? Kama ipo thibitisha au ije yenyewe hapa ijitetee🫴🏾
Swali lako katika muktadha huu ni la kijinga. Halina maana.Oxygen ipo? Kama ipo thibitisha au ije yenyewe hapa ijitetee🫴🏾