Nimeamua kuwa Atheist

Nimeamua kuwa Atheist

Nimefanya tafiti yakinifu nimekuja kugundua Mungu hayupo. Ni story tu za kutupa matumaini hewa.

Nimeamua kuwa Atheist. Nitaupa muda nao ukizingua namrudia Yesu.

Dhulma, uonevu, usaliti na ukatili umetamalaki sana.

Bora kuamini nature na kuwa mwema kwa viumbe hai hata visivyonekana.

Ni maamuz yangu binafsi.
Mwenzako Elon musk kaachana u-atheist,anaamini Mungu yupo baada ya kui-study universe
 
Mbona mnaenda mbinguni , huku mkihuzunika na kulia lia kuna watu hawataki kwenda ? Nenda mbinguni tu salama🖐
Lazima mkubali kuongozwa na mamlaka kubwa kuliko zote! mmeukuta ulimwengu mtauacha na hamjui mnamuachia nani! Mambo yote yalishapangwa, mtake msitake! Na nyinyi kwanini mnawafatilia wanaoenda mbinguni?
Hata kama naenda motoni ila ukweli naujua!
 
Nimefanya tafiti yakinifu nimekuja kugundua Mungu hayupo. Ni story tu za kutupa matumaini hewa.

Nimeamua kuwa Atheist. Nitaupa muda nao ukizingua namrudia Yesu.

Dhulma, uonevu, usaliti na ukatili umetamalaki sana.

Bora kuamini nature na kuwa mwema kwa viumbe hai hata visivyonekana.

Ni maamuz yangu binafsi.


Kobazi tumeshinda yeeeeeee

1770731739656.png
 
Kwanza kabisa, kisichopo hakithibitishiki kwamba hakipo.

Narudia tena, kisichopo, hakithibitishiki kuwa hakipo.

Kwa sanabu hakipo, na kama hakipo, hakithibitishiki kiwa hakipo, uthibitisho unaendana na kilichopo.

Tunaweza kujenga hoja kama za proof by contradiction kuonesha contradiction zinazoonesha kitu fulani hakiwezibkuwapo. Katika hii dhana ya Mungu (mjuzi wa yite, mwenye uwezo wote na uoendo wote) hayupo, nimeelezea sana Epicurean Paradox mpaka michoro nineiweka hapa. Googke Epicurean Paradox, soma, ielewe, kama una swali kuhusiana an Epicurean Oaradox lilete hapa.

Zaidi.

Mzigo wa uthibitisho unamuangukia yule anayesema kitu kipo.

Ndiyo maana Polisi wakija nyumbani kwako, wakisema una madawa ya kulevya, wao wanaosema una madawa ya kulevya wanatakiwa wafanye msako mpaka wayapate, wathibitishe yapo.

Hawakwambii wewe unayesema huna madawa ya kulevya uthibitishe huna madawa ya kulevya.

In principle, we cannot prove a negative, but we can show contradictions that shows the impossibikity of a negative.

Swali la kuuliza hapa, ni kuwauliza wanaosema Mungu yupo, wathibitishe Mungu yupo.

Unasema Mungu yupo?

Kama unasema hivyo, thibitisha Mungu yupo.
Kujadili hoja kisheria siyo namna na njia pekee ya kuthibitisha jambo
Kama kuna jua na kuna photosynthesis inatakiwa wanaodai hakuna msanifu wa hilo watatakiwa kuthibitisha kwa kueleza namna gani hayo mambo yametokea
 
Lazima mkubali kuongozwa na mamlaka kubwa kuliko zote! mmeukuta ulimwengu mtauacha na hamjui mnamuachia nani! Mambo yote yalishapangwa, mtake msitake! Na nyinyi kwanini mnawafatilia wanaoenda mbinguni?
Hata kama naenda motoni ila ukweli naujua!
Waafrika wakikutana na mtu ha hana imani na mambo ya Mungu, ukichaa wenu unaanza kupanda tofauti kabisa na hata mataifa mengine sijui kwanini🤔
 
Kujadili hoja kisheria siyo namna na njia pekee ya kuthibitisha jambo
Kama kuna jua na kuna photosynthesis inatakiwa wanaodai hakuna msanifu wa hilo watatakiwa kuthibitisha kwa kueleza namna gani hayo mambo yametokea
Ivi umesoma ukaelewa kweli iyo point??
Au umeshtuka kutoka usingizini??
 
Kwanza kabisa, kisichopo hakithibitishiki kwamba hakipo.

Narudia tena, kisichopo, hakithibitishiki kuwa hakipo.

Kwa sanabu hakipo, na kama hakipo, hakithibitishiki kiwa hakipo, uthibitisho unaendana na kilichopo.

Tunaweza kujenga hoja kama za proof by contradiction kuonesha contradiction zinazoonesha kitu fulani hakiwezibkuwapo. Katika hii dhana ya Mungu (mjuzi wa yite, mwenye uwezo wote na uoendo wote) hayupo, nimeelezea sana Epicurean Paradox mpaka michoro nineiweka hapa. Googke Epicurean Paradox, soma, ielewe, kama una swali kuhusiana an Epicurean Oaradox lilete hapa.

Zaidi.

Mzigo wa uthibitisho unamuangukia yule anayesema kitu kipo.

Ndiyo maana Polisi wakija nyumbani kwako, wakisema una madawa ya kulevya, wao wanaosema una madawa ya kulevya wanatakiwa wafanye msako mpaka wayapate, wathibitishe yapo.

Hawakwambii wewe unayesema huna madawa ya kulevya uthibitishe huna madawa ya kulevya.

In principle, we cannot prove a negative, but we can show contradictions that shows the impossibikity of a negative.

Swali la kuuliza hapa, ni kuwauliza wanaosema Mungu yupo, wathibitishe Mungu yupo.

Unasema Mungu yupo?

Kama unasema hivyo, thibitisha Mungu yupo.
Oxygen ipo? Kama ipo thibitisha au ije yenyewe hapa ijitetee🫴🏾
 
Oxygen ipo? Kama ipo thibitisha au ije yenyewe hapa ijitetee🫴🏾
Swali lako katika muktadha huu ni la kijinga. Halina maana.

Kwa sababu, kama oxygen ipo, na inaweza kuthibitishwa kuwa ipo.

Au kama oxygen haipo, na jaiwezi kuthibitishwa kwamba ipo.

Yote hayo hayathibitishi Mungu yupo.

Jibu lolote kuhusu oxygen halina maana katika mazungumzo haya.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Back
Top Bottom