Nimeamua kurudi Chadema

He he he he he he he he! Mkuu Chris Lukosi mbona unataka kunipasua mbavu usiku huu?! Ahya bwana karibu CDM basi kubwa na nilijua tu lazima utarudi pimbi ww, sasa acha upunguani na umbulumbundu wako, maana hiki chama tunataka makamanda tu na sio wachumia tumbo.

Karibu mkuu.
Nitaanza na wewe mkuu,

hebu Jiulize Kama una future yeyote ndani ya Chadema zaidi ya kutumiika tu mshahara VirobaViroba
 
NDUgu zanguni,

Leo hii imenibidi nifanye maamuzi magumu ya kurudi Chadema .

nimeamua kurudi Chadema kutoa elimu ya kujitambua ili vijana wajitambue na kukataa kutumiika Kama misukule .

Ni mategemeo yangu makamanda wengine wataungana nami Kwenye shughuli hii ya kuwatoa pepo anaewavuruga machadema

Vijana semeni NO! Kwa Hawa matapeli , Chadema ni Mali ya Mtei na warithi wake tu.

JITAMBUE!

Maamuzi magumu hata jambazi anafanya kwenda kumvamia mtu!, Acha Umende wewe
 
NDUgu zanguni,

Leo hii imenibidi nifanye maamuzi magumu ya kurudi Chadema .

nimeamua kurudi Chadema kutoa elimu ya kujitambua ili vijana wajitambue na kukataa kutumiika Kama misukule .

Ni mategemeo yangu makamanda wengine wataungana nami Kwenye shughuli hii ya kuwatoa pepo anaewavuruga machadema

Vijana semeni NO! Kwa Hawa matapeli , Chadema ni Mali ya Mtei na warithi wake tu.

JITAMBUE!

Usipoacha bange utatembea uchi mitaa ya London sasa hivi kijana! Haya shauri yako!
 
Hahahaaaaaa dunia haiiishi maajabu, si vyema kuwa na tabia za undumilakuwili namna hii

MANI na zumbemkuu njooni Kuna maajabu Hulu eti nzi WA chooni anataka kujichanganya na nyuki

Naskia jamaa alikula rambirambi ya mama mjane Mama mwangosi dah...
 
Last edited by a moderator:
akili nyingne @#%%"~*

wATU wengi hawajui maana ya itikadi na uhuru wa kuchagua. tofauti ya ccm na cdm ni namna ya kufikisha matakwa ya wananchi kama taasisi sio wazo la mtu kama wengi wanavyotaka.kwa wenzetu katu hutaweza jua nani ni mwenyekiti wa republican wala democrat.
 
Ngoja nimpigie rafiki yako niulize kama hizi habari za kweli au akaunti yako imekuwa hacked
 
NDUgu zanguni,

Leo hii imenibidi nifanye maamuzi magumu ya kurudi Chadema .

nimeamua kurudi Chadema kutoa elimu ya kujitambua ili vijana wajitambue na kukataa kutumiika Kama misukule .

Ni mategemeo yangu makamanda wengine wataungana nami Kwenye shughuli hii ya kuwatoa pepo anaewavuruga machadema

Vijana semeni NO! Kwa Hawa matapeli , Chadema ni Mali ya Mtei na warithi wake tu.

JITAMBUE!

waliosema kuwa wewe ni chizi hawakukosea
 
NDUgu zanguni,

Leo hii imenibidi nifanye maamuzi magumu ya kurudi Chadema .

nimeamua kurudi Chadema kutoa elimu ya kujitambua ili vijana wajitambue na kukataa kutumiika Kama misukule .

Ni mategemeo yangu makamanda wengine wataungana nami Kwenye shughuli hii ya kuwatoa pepo anaewavuruga machadema

Vijana semeni NO! Kwa Hawa matapeli , Chadema ni Mali ya Mtei na warithi wake tu.

JITAMBUE!

kuliko kurudi kwenye chama cha wazalendo wa nchi hii kwanini usiendelee kukaa huko huko ccm? Maana huko ccm wanakuna tiGO yako freshi
 
NDUgu zanguni,

Leo hii imenibidi nifanye maamuzi magumu ya kurudi Chadema .

nimeamua kurudi Chadema kutoa elimu ya kujitambua ili vijana wajitambue na kukataa kutumiika Kama misukule .

Ni mategemeo yangu makamanda wengine wataungana nami Kwenye shughuli hii ya kuwatoa pepo anaewavuruga machadema

Vijana semeni NO! Kwa Hawa matapeli , Chadema ni Mali ya Mtei na warithi wake tu.

JITAMBUE!

Mkuu hata kula rambirambi ya mjane mke a mwangosi ni maamuzi magumu pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom