Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
- Thread starter
- #21
Nitaanza na wewe mkuu,He he he he he he he he! Mkuu Chris Lukosi mbona unataka kunipasua mbavu usiku huu?! Ahya bwana karibu CDM basi kubwa na nilijua tu lazima utarudi pimbi ww, sasa acha upunguani na umbulumbundu wako, maana hiki chama tunataka makamanda tu na sio wachumia tumbo.
Karibu mkuu.
hebu Jiulize Kama una future yeyote ndani ya Chadema zaidi ya kutumiika tu mshahara VirobaViroba