Naona una utani na Mbunge Wako
Mbona nasikia ni mmoja wa viongozi wenu huko Arusha?Chadema haipokei Mach-ko!!
Mbona nasikia ni mmoja wa viongozi wenu huko Arusha?
Oya L.e.m.a zile picha vipi??
Umeacha kugawa??
We jamaa pimbi sana
Nasikia jamaa ni kamchezo kake hakoHahahaha yule wa maandamano etiiiii eeee safi sanaa
Ulishakuwa CHADEMA, ikakushinda ukaondoka, sasa waona wivu wa nini? Yaani wewe mke ulishamuacha, wameoa wenzako unalalamika ni kwanini wameoa mke mbaya; una akili kweli wewe? Wewe si ulishamuacha, sasa mubaya kwako unataka awe mbaya na kwa wengine? Wivu tu unakusumbua kwa kudhani kwamba baada ya wewe kumuacha basi angekosa kwa kwenda. Na hivi sasa roho inakuuma unapoona ndiyo kwanza CHADEMA inazidi kushamiri. Kwa jinsi akili yako ilivyo fyatu unaanza kuwalalamikia wanaoiamini CHADEMA, unataka wawe wachumia tumbo kama wewe. Ulishaachana na CHADEMA, kaa pembeni mtunze mke wako mpya CCM. Habari za chadema tuachie sisi wenyewe tunayependezwa nazo.NDUgu zanguni,
Leo hii imenibidi nifanye maamuzi magumu ya kurudi Chadema .
nimeamua kurudi Chadema kutoa elimu ya kujitambua ili vijana wajitambue na kukataa kutumiika Kama misukule .
Ni mategemeo yangu makamanda wengine wataungana nami Kwenye shughuli hii ya kuwatoa pepo anaewavuruga machadema
Vijana semeni NO! Kwa Hawa matapeli , Chadema ni Mali ya Mtei na warithi wake tu.
JITAMBUE!
NDUgu zanguni,
Leo hii imenibidi nifanye maamuzi magumu ya kurudi Chadema .
nimeamua kurudi Chadema kutoa elimu ya kujitambua ili vijana wajitambue na kukataa kutumiika Kama misukule .
Ni mategemeo yangu makamanda wengine wataungana nami Kwenye shughuli hii ya kuwatoa pepo anaewavuruga machadema
Vijana semeni NO! Kwa Hawa matapeli , Chadema ni Mali ya Mtei na warithi wake tu.
JITAMBUE!
NDUgu zanguni,
Leo hii imenibidi nifanye maamuzi magumu ya kurudi Chadema .
nimeamua kurudi Chadema kutoa elimu ya kujitambua ili vijana wajitambue na kukataa kutumiika Kama misukule .
Ni mategemeo yangu makamanda wengine wataungana nami Kwenye shughuli hii ya kuwatoa pepo anaewavuruga machadema
Vijana semeni NO! Kwa Hawa matapeli , Chadema ni Mali ya Mtei na warithi wake tu.
JITAMBUE!
He he he he he he he he! Mkuu Chris Lukosi mbona unataka kunipasua mbavu usiku huu?! Ahya bwana karibu CDM basi kubwa na nilijua tu lazima utarudi pimbi ww, sasa acha upunguani na umbulumbundu wako, maana hiki chama tunataka makamanda tu na sio wachumia tumbo.
Karibu mkuu.
Tatizo mnashindwa kuelewaUlishakuwa CHADEMA, ikakushinda ukaondoka, sasa waona wivu wa nini? Yaani wewe mke ulishamuacha, wameoa wenzako unalalamika ni kwanini wameoa mke mbaya; una akili kweli wewe? Wewe si ulishamuacha, sasa mubaya kwako unataka awe mbaya na kwa wengine? Wivu tu unakusumbua kwa kudhani kwamba baada ya wewe kumuacha basi angekosa kwa kwenda. Na hivi sasa roho inakuuma unapoona ndiyo kwanza CHADEMA inazidi kushamiri. Kwa jinsi akili yako ilivyo fyatu unaanza kuwalalamikia wanaoiamini CHADEMA, unataka wawe wachumia tumbo kama wewe. Ulishaachana na CHADEMA, kaa pembeni mtunze mke wako mpya CCM. Habari za chadema tuachie sisi wenyewe tunayependezwa nazo.
The guy is just an attention seeker:juggle::juggle::juggle::juggle::juggle: