Nimeamua kumuacha salama salmini

Nimeamua kumuacha salama salmini

Habari za majukumu ndugu zangu hapa JF,

Leo ninafuraha na amani tele kweny moyo wangu baada ya kuchukua maamuz ya kuachan na bint nipiyetaka kumuoa ila baada ya kujua madhaifu yake ni mengi kuliko uwezo Wang

NIlikuja kuomba ushaur humu na kunajambo jipya lilikuja kweny akili yang na nikachukua hatua ya kumwambia asifikilie Tena swala la mim kutakata kumuoa yeye ingawa mama mzazi ananipenda

Vijana wenzangu tuwe zaidi ya umakinI tunapotaka kuoa tusikurupuke tutajikuta kweny msongo na shinikizo la mawazo

Tusikatae ndoa Bali tuwe makini kweny kutafuta ndoa

Watu wa JF wamenipa ushaur na nimeona n kheri nusu shali kuliko shali kamili

*Achana na mwanamke asiyekuwa na msimamo juu Yako.

*Achana na mwanamke asiyekuwa na roho ya kulizka na kidogo kwan hakuna kikubwa kweny Dunia Kila siku watu wanaotafuta

*Mwanamke mwenye historia ya kuwa na mpenzi aliyempenda sana achana naye kwani upendo wa huyo jamaa bado ataishinao siku zote

##wanawake ni wengi kuliko wanaume hivyo ni vyema tutulie katka kuchagua mke
Kwaiyo mkuu hapa unatajaribu kusema kuwa uyo mpenzi wako bado anampenda ex wake ryt? Kama umethibitisha hilo basi piga chini
 
Kwaiyo mkuu hapa unatajaribu kusema kuwa uyo mpenzi wako bado anampenda ex wake ryt? Kama umethibitisha hilo basi piga chini
IPO ivyo mkuu sababu anasema wanawasiliana ingawa hawako pamoja though Sion haja ya kuendelea kupoteza muda wangu
 
Kwaiyo mkuu hapa unatajaribu kusema kuwa uyo mpenzi wako bado anampenda ex wake ryt? Kama umethibitisha hilo basi piga chini
IPO ivyo mkuu sababu anasema wanawasiliana ingawa hawako pamoja though Sion haja ya kuendelea kupoteza muda wangu
 
IPO ivyo mkuu sababu anasema wanawasiliana ingawa hawako pamoja though Sion haja ya kuendelea kupoteza muda wangu
Ushaongea naye kwenye hilo ? Umefanya uchunguzi wa kina ?
 
Kuna mmojq nataka kumuoa ila kama haeleweki kabisa ...Ni mtihani sana nilitaka mwezi wa saba nimuoe ndoa fasta ila ana mambo mengi sana .


Ni mpole kupitiliza nikiongea naye hawezi kunitazama usoni ,kashika dini sanq ..Ninachompenda haombi pesa maana ana kazi yake .

Alikubali ombi na kuridhia kabisa
Huyo bado hajafikia target anakuona wewe km kituo cha.muda
 
Habari za majukumu ndugu zangu hapa JF,

Leo ninafuraha na amani tele kweny moyo wangu baada ya kuchukua maamuz ya kuachan na bint nipiyetaka kumuoa ila baada ya kujua madhaifu yake ni mengi kuliko uwezo Wang

NIlikuja kuomba ushaur humu na kunajambo jipya lilikuja kweny akili yang na nikachukua hatua ya kumwambia asifikilie Tena swala la mim kutakata kumuoa yeye ingawa mama mzazi ananipenda

Vijana wenzangu tuwe zaidi ya umakinI tunapotaka kuoa tusikurupuke tutajikuta kweny msongo na shinikizo la mawazo

Tusikatae ndoa Bali tuwe makini kweny kutafuta ndoa

Watu wa JF wamenipa ushaur na nimeona n kheri nusu shali kuliko shali kamili

*Achana na mwanamke asiyekuwa na msimamo juu Yako.

*Achana na mwanamke asiyekuwa na roho ya kulizka na kidogo kwan hakuna kikubwa kweny Dunia Kila siku watu wanaotafuta

*Mwanamke mwenye historia ya kuwa na mpenzi aliyempenda sana achana naye kwani upendo wa huyo jamaa bado ataishinao siku zote

##wanawake ni wengi kuliko wanaume hivyo ni vyema tutulie katka kuchagua mke
mie kama mwanamke kwenye kikao chetu tumeamua tukasema wewe sio muowaji bali ni mzinguaji. nikisoma hapo habari yako kikao kimeamua kusema huna sifa ya kuwa mume
 
Baada ya kuangalia tabia Suala la kuoa ni muhimu pia kujua unaoa kwenye familia ya namna gani, maana familia yake ina mchango mkubwa sana katika kujenga au kuvuruga ndoa yako.
 
Baada ya kuangalia tabia Suala la kuoa ni muhimu pia kujua unaoa kwenye familia ya namna gani, maana familia yake ina mchango mkubwa sana katika kujenga au kuvuruga ndoa yako.
Hakika brow 👍 ni wazo zuri ILO nitaangalia Kwa mwanamke mwingne ila sio Kwa uyu bint
 
Na unaposonga mbele, tafadhali usiangalie viporo ulivyacha nyuma ili ukapashe gentleman, lahasha,

kua makini zaidi,
ili keuga yako isije kukuangamiza mwenewe 🐒
Akipasha tu imekula kwake mdau huyu kwani wanawake ni wajanja sana hutumia siraha hiyo kupata chochote watakacho. Pia mawasiliano yanapaswa kuvunjwa kabisa maana hawaishi vituko na kumwaga chozi la mamba ziwani.
 
Hakika brow 👍 ni wazo zuri ILO nitaangalia Kwa mwanamke mwingne ila sio Kwa uyu bint
Mi pia nipo kwenye harakati za kuchagua mke nimeshapata option mbili tabia nzuri na familia wanayoyoka ni familia salama ngoja niangalie moyo umependa wapi zaidi nikaoe
 
Ulikuwa haujampenda huyo, vinginevyo ujue kuacha si rahisi hivyo

Huyu majam19 hajamuacha, bali amepata majibu ambayo katika uchumba ni kawaida kupatikana. Kwani siyo kila uchumba uwe ndoa. Hiyo itakuwa ni sawa na kutaka kila mechi unayocheza ushinde. Kitu ambacho siyo mara zote kinatokea. Hata katika ule usemi kila mtu ashinde mechi za uwanja wa nyumbani kwake, ni nadharia tu. Haiko hivyo mara zote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom