mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 6,632
- 18,655
Kheri sio kheliKila renye kheli kwako kijana
Kheri sio kheliKila renye kheli kwako kijana
aiseee!!!👿Yye mwenyewe ananiambia ameniridhia na ananipenda ...Nilitaka kuanza kujuana na ndugu zake kama anakwepa hivi so nikipata binti naona fasta ..Siwezi kuishi kwenye nyumba peke yangu na uzinzi siwezi kabisa kwa imani yangu .
Sasa hapa unataka umueleweje/kosa lake ni lipi hapaKuna mmojq nataka kumuoa ila kama haeleweki kabisa ...Ni mtihani sana nilitaka mwezi wa saba nimuoe ndoa fasta ila ana mambo mengi sana .
Ni mpole kupitiliza nikiongea naye hawezi kunitazama usoni ,kashika dini sanq ..Ninachompenda haombi pesa maana ana kazi yake .
Alikubali ombi na kuridhia kabisa
Mzee yakikufika unaacha tu, kuna umri ukifika kumuacha mtu ni rahisi sana.Ulikuwa haujampenda huyo, vinginevyo ujue kuacha si rahisi hivyo
IPO ivyo mkuu sababu anasema wanawasiliana ingawa hawako pamoja though Sion haja ya kuendelea kupoteza muda wangu
Huyu piga chini mkuu!! Polee jamaa wewe unaonekana una uvumilivu na unampenda uyo demu” piga kisela huku unatafuta sehemu nyingine ujiwekeIPO ivyo mkuu sababu anasema wanawasiliana ingawa hawako pamoja though Sion haja ya kuendelea kupoteza muda wangu
Piga Chini haraka sana, huyo mwanamke ni Mjinga sanaIPO ivyo mkuu sababu anasema wanawasiliana ingawa hawako pamoja though Sion haja ya kuendelea kupoteza muda wangu
KabisaHakika mkuu
Kupata mkamilifu haiwezekani, ila at least apate a aye respond kwenye huo ukamilifuUnadhani utapata mkamilifu? Utasubili sana
Kumuongoza mwanamke inahitaji hekima kama za mzee mguto wa TPLB,
Unamchukulia mwanamke kama mwanaume ktk kufikiri?
Usioe kabisa mkuu vinginevyo utaharibu ndoa ndani ya mwezi mmoja
Hapana naona kama anaogopa kwa sana.Sasa hapa unataka umueleweje/kosa lake ni lipi hapa
Sasa hapo tatizo liko wapiKuna mmojq nataka kumuoa ila kama haeleweki kabisa ...Ni mtihani sana nilitaka mwezi wa saba nimuoe ndoa fasta ila ana mambo mengi sana .
Ni mpole kupitiliza nikiongea naye hawezi kunitazama usoni ,kashika dini sanq ..Ninachompenda haombi pesa maana ana kazi yake .
Alikubali ombi na kuridhia kabisa
Huku Tanga kama hujulikani kwao ,basi akija jamaa anapewa kweupe.Sasa hapo tatizo liko wapi
Jichanganye sasa ule za uso. Hakuna Ke asiyependa pesa za Me wake haijalishi ana kipato aina gani au hana kabisa.Kuna mmojq nataka kumuoa ila kama haeleweki kabisa ...Ni mtihani sana nilitaka mwezi wa saba nimuoe ndoa fasta ila ana mambo mengi sana .
Ni mpole kupitiliza nikiongea naye hawezi kunitazama usoni ,kashika dini sanq ..Ninachompenda haombi pesa maana ana kazi yake .
Alikubali ombi na kuridhia kabisa
Ukiwa na wasiwasi usipuuze,fanyia kaziKuna mmojq nataka kumuoa ila kama haeleweki kabisa ...Ni mtihani sana nilitaka mwezi wa saba nimuoe ndoa fasta ila ana mambo mengi sana .
Ni mpole kupitiliza nikiongea naye hawezi kunitazama usoni ,kashika dini sanq ..Ninachompenda haombi pesa maana ana kazi yake .
Alikubali ombi na kuridhia kabisa
IPO ivyo kaka Bora kuangalia njia mapemaUmefanya jambo zuri sana mkuu,hata hivyo kama hujapitia heart break huwezi kufanya chaguo sahihi,unaweza kudhani kwamba upo swa na huyo uliyenaye kumbe yeye anasogeza muda hapo siku ikifika anakupiga chini,ndiyo unakuja kujuwa kumbe ulikuwa hujuwi.
Hapo umenipata kiukwel umeongea mkuuHuyu majam19 hajamuacha, bali amepata majibu ambayo katika uchumba ni kawaida kupatikana. Kwani siyo kila uchumba uwe ndoa. Hiyo itakuwa ni sawa na kutaka kila mechi unayocheza ushinde. Kitu ambacho siyo mara zote kinatokea. Hata katika ule usemi kila mtu ashinde mechi za uwanja wa nyumbani kwake, ni nadharia tu. Haiko hivyo mara zote
NakaziaNi rahisi sana. Sikuzote kwenye mahusiano angalia afya ya akili yako usilazimishe mahusiano na;
Nyingine endelea kuongezea
- Mwanamke mzinifu
- Mwanamke mwenye mashosti
- Mwanamke anayetongoza wanaume ikiwemo mtandaoni
- Mwanamke anayebadilisha picha yake na kuweka mapozi kwenye mitandao ikiwemo status za Whatsup
- Mwanamke mwenye laini nyingi za simu
- Mwanamke anayekuomba hela mara kwa mara
- Mwanamke asiyekushauri mipango ya maendeleo yenu ya baadae
- Mwanamke mwenye matatizo ya kiafya ikiwemo majini
- Mwanamke mvivu
- Mwanamke anayependa starehe
- Mwanamke mchoyo hasa chakula kwako
- Mwanamke mbishi na anayependa malumbano
- Mwanamke ambaye ameshawahi kuliwa ule mtandao uliobadili jina