majam19
JF-Expert Member
- Nov 13, 2024
- 1,363
- 1,564
- Thread starter
- #101
Kiukwel Kwa uyu moyo wangu umekufa siwez kuendelea nayeyaani umeshamvua chupi binti wa watu halafu hutaki kumuoa. Unataka kutupa tabu sisi ambao tulikuwa na mipango ya kumuoa.
Ukisubiri mwanamke aliyakamilika basi utachelewa sana kuoa.