Nimeamua kumuacha salama salmini

Nimeamua kumuacha salama salmini

Yye mwenyewe ananiambia ameniridhia na ananipenda ...Nilitaka kuanza kujuana na ndugu zake kama anakwepa hivi so nikipata binti naona fasta ..Siwezi kuishi kwenye nyumba peke yangu na uzinzi siwezi kabisa kwa imani yangu .
Duuh basi fuata utaratibu kama Hana tatizo umuone mtazamo wake
 
Ni rahisi sana. Sikuzote kwenye mahusiano angalia afya ya akili yako usilazimishe mahusiano na;
  • Mwanamke mzinifu
  • Mwanamke mwenye mashosti
  • Mwanamke anayetongoza wanaume ikiwemo mtandaoni
  • Mwanamke anayebadilisha picha yake na kuweka mapozi kwenye mitandao ikiwemo status za Whatsup
  • Mwanamke mwenye laini nyingi za simu
  • Mwanamke anayekuomba hela mara kwa mara
  • Mwanamke asiyekushauri mipango ya maendeleo yenu ya baadae
  • Mwanamke mwenye matatizo ya kiafya ikiwemo majini
  • Mwanamke mvivu
  • Mwanamke anayependa starehe
  • Mwanamke mchoyo hasa chakula kwako
  • Mwanamke mbishi na anayependa malumbano
  • Mwanamke ambaye ameshawahi kuliwa ule mtandao uliobadili jina
Nyingine endelea kuongezea
Mtandao Yas
 
Leo ninafuraha na amani tele kweny moyo wangu baada ya kuchukua maamuz ya kuachan na bint nipiyetaka kumuoa ila baada ya kujua madhaifu yake ni mengi kuliko uwezo Wang
Acha kutufunga kamba. Huna furaha wala amani yo yote. Upo kwenye maumivu makali na bado upo kwenye denial stage. Kufa hutakufa ila cha moto utakiona. Kubaliana na hali halisi mapema; appreciate mema yote mliyotendeana, focus na mambo yako na pole pole utaanza kupata nafuu.

Kwa sasa jitahidi usiwasiliane naye wala kusoma meseji zake, kuangalia picha zake na kukumbuka mbususu yake. Ukifanya hivyo utajiongezea muda wa mateso.

Pambana!
 
Kuna mmojq nataka kumuoa ila kama haeleweki kabisa ...Ni mtihani sana nilitaka mwezi wa saba nimuoe ndoa fasta ila ana mambo mengi sana .


Ni mpole kupitiliza nikiongea naye hawezi kunitazama usoni ,kashika dini sanq ..Ninachompenda haombi pesa maana ana kazi yake .

Alikubali ombi na kuridhia kabisa
Jizalie wako mwaya umuoe
 
Acha kutufunga kamba. Huna furaha wala amani yo yote. Upo kwenye maumivu makali na bado upo kwenye denial stage. Kufa hutakufa ila cha moto utakiona. Kubaliana na hali halisi mapema; appreciate mema yote mliyotendeana, focus na mambo yako na pole pole utaanza kupata nafuu.

Kwa sasa jitahidi usiwasiliane naye wala kusoma meseji zake, kuangalia picha zake na kukumbuka mbususu yake. Ukifanya hivyo utajiongezea muda wa mateso.

Pambana!
Upo sahihi ila kwasas Sina maumivu ya kivilee sanaa na kawaida tuuh
 
Duuh basi fuata utaratibu kama Hana tatizo umuone mtazamo wake
Hii naijua kwa sababu sisi watu wa Tanga , kama akija mgeni hasa mzanzibar fasta anaolewa ...Binti ni mweupe kama muarabu , tumejua kama wiki 2 nyuma ila plan zangu mpaka mwezi wa saba awe ndani ...Kakubali kila kitu , kanieleza mengi kuhusu kwao mpaka ndugu zake na asili yao .

Nlitaka kuseal deal mapema ili asije kuchukuliwa kama anazingua nivute chombo ktoka Lushoto muda wowote
 
Bado upo kwenye denial mdogo wangu.

Kufa hutakufa ila cha moto utakiona; hasa kama uliwekeza sana kwake na ulimpenda kikweli.

Umeongea naye mara ya mwisho lini?

Hii naijua kwa sababu sisi watu wa Tanga , kama akija mgeni hasa mzanzibar fasta anaolewa ...Binti ni mweupe kama muarabu , tumejua kama wiki 2 nyuma ila plan zangu mpaka mwezi wa saba awe ndani ...Kakubali kila kitu , kanieleza mengi kuhusu kwao mpaka ndugu zake na asili yao .

Nlitaka kuseal deal mapema ili asije kuchukuliwa kama anazingua nivute chombo ktoka Lushoto muda wowote
Wee wa Tanga sehemu gan maan mi huko ndiyo home ila kwasas naish mkoani mkuu
 
I see...
........jf ina wanaume wakamilifu karibia wote....na wanawake mapepenga!

Acha nikavute tymbaku langu nichangamke....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom