Nimeachana nae..ila bado naona wivu

Nimeachana nae..ila bado naona wivu

Achana na mawazo hayo, ukiona unaanza kumuwaza chukukua kitabu cha dini au
tenzi za rohoni imba mpaka usingizi utakupitia hutamuaza tena huyo zilipendwa wako,

Pole sana shost
Tena ule wimbo wa tenzi za rohoni namba 52 "yote namtolea Yesu" mzuri saaaana...aimbe huo usiku huu.
 
Mlango mmoja ukifunga,Mwengine hufunguka.Tatizo hilo dogo sana nikupata mwengine azibe nafasi,huto muwaza tena wala kumuonea wivu.Tangaza ajira hiyo vijana wajiari.
 
Sasa kwani nini na nesanesa balaa unamuokota baunsa yeyote unapita naye hapo hapo [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hahahaaah uwwiiii wapi security officers.... Ni hiviii[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mm tumeachana haipiti week nakusahau hata tukionana naweza hata nisikusalimie achana na kushtuka sijui na kukosa kulala hiyo haitokei kamwe tukiachana kila kitu kuhusu wewe nasahau nakuhesabia marehemu woiiii
Sema walahi!! haujakutana na fundi naona,laiti ungekutana naye (mfano mimi) hiyo kauli utafuta!!
 
Back
Top Bottom