Nimeachana nae..ila bado naona wivu

Nimeachana nae..ila bado naona wivu

Pole sana..jitahidi tu umsahau..fikiria kabla ya yeye kuja maishani mwako ulikua vipi..kubali matokeo najua ni ngumu ila jitahidi my dear
 
Yote namtolea Yesu, nainamia pake nimeacha na anasa kwako Yesu nipokee [emoji444][emoji444][emoji444][emoji444][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445] uwiiii shunie mm naacha anasa bye bye
Haaaaa haaaa [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] bonge ya bubujiko
 
Woiii namm naacha yoote...yooooote ni ubatili na kujilisha upepo..bora nibaki kwenye umama mchungaji wangu tuu,..bye bye anasa[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mm tumeachana haipiti week nakusahau hata tukionana naweza hata nisikusalimie achana na kushtuka sijui na kukosa kulala hiyo haitokei kamwe tukiachana kila kitu kuhusu wewe nasahau nakuhesabia marehemu woiiii

Ha ha kuna mmoja aliniambia yeye hana ex, mkiachana mmeachana inaishia hapo na kama unamtaka tena siyo unakuja kukumbushia mambo ya zamani, anza moja
 
Habari wanajamvi

Mwezi uliopita tulikwazana na aliyekuwa mpenzi wangu...hadi kufikia hatua ya kuvunja mahusiano kwa tabia zake

Siku za hivi karibuni...nimekutana nae akiwa na mwanamke mwingine...wakitanua...

Sio siri moyo wangu ulilipuka na kuumia sana....usiku wa siku hiyo...sikulala nilisongwa na mawazo... Nikifikiria zile mechi ambazo tulikuwa tunacheza....ndo watakuwa wanazicheza

Nimeachana nae...ila najikuta namuwaza na kuhisi wivu

Nifanyeje nimsahau..na nisione wivu..nimuonapo akiwa na mpenzi wake mwingine?
dawa yake ipo ambayo ukiwa tu na Mimi yeye ndio ataanza kuona wivu
 
Back
Top Bottom