Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,061
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] achaHahahaa siri sirini
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] achaHahahaa siri sirini
Yote namtolea Yesu nampa moyo wote, Nampa moyo wote, Nitampenda siku zote namwandama kila saa halelujahTena ule wimbo wa tenzi za rohoni namba 52 "yote namtolea Yesu" mzuri saaaana...aimbe huo usiku huu.
Tena unapita naye ukifika mbele unamwambia pita pale kisha rudi tena huku kamaHahahaaah uwwiiii wapi security officers.... Ni hiviii[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Mkuu hapana ufundi wako baki nao na wala sitakukumbukaSema walahi!! haujakutana na fundi naona,laiti ungekutana naye (mfano mimi) hiyo kauli utafuta!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Woyoooooo akwendreee akafie uko
Mbio za bombadia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena unapita naye ukifika mbele unamwambia pita pale kisha rudi tena huku kama
hawata ondoka na mtu wake [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji151] [emoji151]
Yaani mie huwashangaa watu wengine wiki inatosha sana tena kimya kimya ukitoka humo
wazamani maisha yanasonga saaaasa wengine mpaka anapauka uso mthiiiiiiiu [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Njoo kwangu hakika hutomkumbuka tena wala kuhisi wivu kwakeHabari wanajamvi
Mwezi uliopita tulikwazana na aliyekuwa mpenzi wangu...hadi kufikia hatua ya kuvunja mahusiano kwa tabia zake
Siku za hivi karibuni...nimekutana nae akiwa na mwanamke mwingine...wakitanua...
Sio siri moyo wangu ulilipuka na kuumia sana....usiku wa siku hiyo...sikulala nilisongwa na mawazo... Nikifikiria zile mechi ambazo tulikuwa tunacheza....ndo watakuwa wanazicheza
Nimeachana nae...ila najikuta namuwaza na kuhisi wivu
Nifanyeje nimsahau..na nisione wivu..nimuonapo akiwa na mpenzi wake mwingine?
Kujiendekeza tu kama mdada aliyetaka kunywa sumu kisa msanii kafa na si ndugu yake,Sema walahi!! haujakutana na fundi naona,laiti ungekutana naye (mfano mimi) hiyo kauli utafuta!!
Wouzzzerrrrr siku 7 unatoka mpyaaaa kama mtoto mchanga vile,.[emoji23][emoji23]Yaani mie huwashangaa watu wengine wiki inatosha sana tena kimya kimya ukitoka humo
wazamani maisha yanasonga saaaasa wengine mpaka anapauka uso mthiiiiiiiu [emoji28] [emoji28] [emoji28]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji2] [emoji28] mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji99]Yote namtolea Yesu nampa moyo wote, Nampa moyo wote, Nitampenda siku zote namwandama kila saa halelujah
Oh Haleluyaaaaaa sanaa...[emoji122][emoji122]Yote namtolea Yesu nampa moyo wote, Nampa moyo wote, Nitampenda siku zote namwandama kila saa halelujah
Oh Haleluyaaaaaa sanaa...[emoji122][emoji122]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji2] [emoji28] mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji99]
Woooiii nahisi kububujikwa upako,.Yote kwa Yesu, yote kwa Yesu, yote kwako, Ee mwokozi natoa sasa [emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji444] halleluja hallelujah [emoji120][emoji120]
Yote namtolea Yesu, nainamia pake nimeacha na anasa kwako Yesu nipokee [emoji444][emoji444][emoji444][emoji444][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445] uwiiii shunie mm naacha anasa bye byeWoooiii nahisi kububujikwa upako,.