Nimeachana nae..ila bado naona wivu

Nimeachana nae..ila bado naona wivu

Woooii shunii mbavu zanguu,.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]master of all disasters hahahahaa nimecheka sana uwwii
Wooozeeer wooozeeerr [emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Hapa ndio utaona umuhimu wa kuwa na backup[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anampenda mwaya,.lakini ngoja atuambie miaka yake usikute yuko 19 lazima alie,..sasa wazee wa siku kama mm naww ma king kong yenyewe ya porini vitu kama hivi tunasov kizee zaidi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wozaa
Umeona unapita tu tena kwa madaha [emoji23] [emoji23] [emoji2][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sasa nafanyaje..hili shetani anitoke kichwani?
Achana na mawazo hayo, ukiona unaanza kumuwaza chukukua kitabu cha dini au
tenzi za rohoni imba mpaka usingizi utakupitia hutamuaza tena huyo zilipendwa wako,

Pole sana shost
 
Back
Top Bottom