Bwana kaduga
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 864
- 1,818
OK endelea kuumia hadi utakapo fikia kikomo
Jaaaamaniiii weka baaaariaa mikono juu mwendo wa mateka mikono juu[emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]in man fongo voice[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mm tumeachana haipiti week nakusahau hata tukionana naweza hata nisikusalimie achana na kushtuka sijui na kukosa kulala hiyo haitokei kamwe tukiachana kila kitu kuhusu wewe nasahau nakuhesabia marehemu woiiii
Sasa unalia nn?!etiNdio
Jaaaamaniiii weka baaaariaa mikono juu mwendo wa mateka mikono juu[emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]in man fongo voice
Vipi kwema lakini cuteloveAsanty
Shunie mambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] King kong master naanzaje kutolala sababu ya x marehemu
Shem darling habari ndio hiyo kama huwezi backup unakuwa "sista" au "paroko" basiAu sio
Tuwe makini jaman na watu wasiojulikanaHabari wanajamvi
Mwezi uliopita tulikwazana na aliyekuwa mpenzi wangu...hadi kufikia hatua ya kuvunja mahusiano kwa tabia zake
Siku za hivi karibuni...nimekutana nae akiwa na mwanamke mwingine...wakitanua...
Sio siri moyo wangu ulilipuka na kuumia sana....usiku wa siku hiyo...sikulala nilisongwa na mawazo... Nikifikiria zile mechi ambazo tulikuwa tunacheza....ndo watakuwa wanazicheza
Nimeachana nae...ila najikuta namuwaza na kuhisi wivu
Nifanyeje nimsahau..na nisione wivu..nimuonapo akiwa na mpenzi wake mwingine?
Woooii shunii mbavu zanguu,.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]master of all disasters hahahahaa nimecheka sana uwwii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] King kong master naanzaje kutolala sababu ya x marehemu
Shunie mambo
hamia mkoa mwingineHabari wanajamvi
Mwezi uliopita tulikwazana na aliyekuwa mpenzi wangu...hadi kufikia hatua ya kuvunja mahusiano kwa tabia zake
Siku za hivi karibuni...nimekutana nae akiwa na mwanamke mwingine...wakitanua...
Sio siri moyo wangu ulilipuka na kuumia sana....usiku wa siku hiyo...sikulala nilisongwa na mawazo... Nikifikiria zile mechi ambazo tulikuwa tunacheza....ndo watakuwa wanazicheza
Nimeachana nae...ila najikuta namuwaza na kuhisi wivu
Nifanyeje nimsahau..na nisione wivu..nimuonapo akiwa na mpenzi wake mwingine?