Hapa ndio utaona umuhimu wa kuwa na backup[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anampenda mwaya,.lakini ngoja atuambie miaka yake usikute yuko 19 lazima alie,..sasa wazee wa siku kama mm naww ma king kong yenyewe ya porini vitu kama hivi tunasov kizee zaidi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wozaaHahaha halafu nilitaka nikuite bi shost bado anampenda jamaa ujue
Ikiwa umechoka na mapenzi kwa nini unamuonea wivu?Nimechoka..na mapenzi
Eeeh...hapa mimi siwezi kumshauri watu wengiAkuje eenh
Au sioHapa ndio utaona umuhimu wa kuwa na backup[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anampenda mwaya,.lakini ngoja atuambie miaka yake usikute yuko 19 lazima alie,..sasa wazee wa siku kama mm naww ma king kong yenyewe ya porini vitu kama hivi tunasov kizee zaidi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wozaa
Sweetheart pole,.hivi unajua kama ww ni mzuuuri na mtamu??Muuh,...between 24-28
Loh!..una mamboHahahhaha nyie dawa yenu huwa niiyo tu " Kukunjwa kisawasawa katika mechi" utaachana namtu lkn kumsahau sasa kaaaaaazi kwelikweli .
Pole Cute b , tulia tu kwasasa, Wala usije ukatafuta Naww mtu wakukupigisha mechi nzito nzito ,utajikuta umehama bucha kibao lkn bado .
Tulia, huenda akajikuta huko aliko hakuna maana na Akarudi kwako, nahata asiporudi, Utakua umejipa muda wakujenga Hisia nzito zaidi namtu mwingine ..nakwasababu ya hisia izo, hata siku mkinjunjana Utajikuta unaikubal Show yake kisawasawa.
Funzo la uzi wako....
wakati fulan kumbe mwanamke anamkumbuka mwanamme wake Pale tu anapoanza kukumbuka alivyokua anakunjwa.
Hivo basi, wana Wakunjeni madem wenu hata asikae anakusahau.
Hapa ndio utaona umuhimu wa kuwa na backup[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anampenda mwaya,.lakini ngoja atuambie miaka yake usikute yuko 19 lazima alie,..sasa wazee wa siku kama mm naww ma king kong yenyewe ya porini vitu kama hivi tunasov kizee zaidi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wozaa
Eeeh...hapa mimi siwezi kumshauri watu wengi
Asanty...mumKubali tu sio wako tena
Hakuna kitu kinauma kama kuachana na mtu ambae moyo wako bado ulihitaji kua nae na ushajiweka ukajua unafanya naye future inauma lakini ikifikia mahali ukaona hiyo ndo njia sahihi huna namna
Halaf utakua umejifunza kuyamaliza kabla hamjalala mkikorofishana
Kufanya haraka kupata suluhu kwa ajili ya uhai wa gurudumu la mahusiano yenu
Pole hili nalo litapita mwache atambe na mpya we kubali kuumia sasa ili baadae usiumie tena wala kulia tena
Looooh habar ndo iyo [emoji28]Loh!..una mambo